Wasifu wa Jenerali Imran Kombe

Vipi kuhusu ushawishi wake kwenye vyombo vya Usalama na medani za kisiasa??
 
Hivi inakuwaje Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa anauwawa kirahisi tu ?? Kwani hakuwa na walinzi wake ??
 
Ex DG wa usalama anaheshikimika sana kama The late Dr. Lawrance Gama, hawa walitoka Jeshini japo na yule coronel Apson naye alitoka huko, hao wanaheshimika sana pale Makumbusho.
 
Vipi kuhusu ushawishi wake kwenye vyombo vya Usalama na medani za kisiasa??
IT WAS IMRAN KOMBE INFACT WHO ORDERED MORINGE SOKOINE"S PERSONAL BODYGUARDS TO HEAD TOWARD MONDULI INSTEAD OF ACCOMPANY HE FORMER PREMIER TO ROAD TRIP TO DAR......FEW PEOPLE KNOW THAT WHEN IMRAN WAS KILLED HIM AND HIS WIFE WERE ON THE WAY TO FLEE THE COUNTRY TO CANADA AFTER SMELT FISH....ON HIS ROLE AHEAD OF 1995 ELECTIONS...
 
Mbona yule wa Mbeya hafanywi lolote wakati alihusika na uchaguzi wa 2005 na 2015.
 
Siasa bhana, alipoonekana ana mrengo wa kujiunga na lyatonga tu ndio wakaona haina jinsi!
 
Hahahaa umenikumbusha kifo chake alifutiliwa kuanzia dar hadi moshi akaenda kupugiwa risasi kwenye shamba la mahindi
Aliyemtwanga risasi Kombe yupo hai mpk leo,na yupo moja ya wilaya katika mkoa wa Tanga,ukimuona huwezi kumdhania...huwa havai uniform anavaa kawaida tu...Mods naomba mnilinde tafadhali....!!
 
Wewe jifunze kiingereza siyo kutuandikia kinyakyusa humu ndani
 
Wewe jifunze kiingereza siyo kutuandikia kinyakyusa humu ndani
 
mtoa uzi umetoa mada nzuri tu ila hii JF imeingiliwa majibu hapo juu ni kama watoto wa chekechea ,binafsi sina historia yake ingawa nilipata nafasi ya kumhudumia pale White Sands Hotel,alikuwa anapenda kuja pale kila jumapili na familia yake hasa maeneo ya pool,family yake ilikuwa down to earth pamoja na kuwa moja ya familia very powerfull kipindi hicho,yeye mwenyewe alikuwa ni mtu mwenyo upendo,mcheshi,mkarimu na tabia hiyo hiyo aliifanya hata familia yake iwe hivyo,watoto hawana dharau ambao familia zingine nilikuwa nawaona wanayo,nami nilijifunza mno ndio maana mpaka leo sijawahi kuinua mkono kwa mtoto wangu na baadhi ya wanafunzi niliowafundisha kama nitapata nafasi ya kuwaomba msamaha wa kuwapa adhabu ya viboko nitafanya hivyo,hii adhabu ni ya kinyama na kishezi na udharirishaji mkubwa wa kibinadamu,was a teacher before joining hospitality industry.
 
Aliyemtwanga risasi Kombe yupo hai mpk leo,na yupo moja ya wilaya katika mkoa wa Tanga,ukimuona huwezi kumdhania...huwa havai uniform anavaa kawaida tu...Mods naomba mnilinde tafadhali....!!
Uko wapi mkuu nataka nimjue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…