Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
True dat.... lakini public wasingeweza kuiambia sababu hiyo... NDO WAKAJA NA HIYO KWAMBA WAMEMFANANISHA NA JAMBAZISi kweli it was an assassination
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True dat.... lakini public wasingeweza kuiambia sababu hiyo... NDO WAKAJA NA HIYO KWAMBA WAMEMFANANISHA NA JAMBAZISi kweli it was an assassination
Vipi kuhusu ushawishi wake kwenye vyombo vya Usalama na medani za kisiasa??Naikumbuka CV yake ya jeshini tu,
Kombe alikuwa miongoni mwa makamanda Cream waliowahi kutokea katika historia ya JWTZ.
Kama sijakosea yeye na Mayunga pekeyao ndio makamanda wa divisheni katika vita ya kagera ambao wamefikia cheo cha luteni jenerali.
Hivi inakuwaje Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa anauwawa kirahisi tu ?? Kwani hakuwa na walinzi wake ??Hayati Meja Jenerali Imran Kombe"Kamanda Ngono"-Alikusanya vikosi vyake kuingia Uganda kuvuka mto mkorofi wa Ngono(mgonjwa wa kwanza wa HIV duniani inahisiwa alitoka kando ya mto huu)Alipata sana shida ya vikosi vyake kushambuliwa na wadudu wahasa wakati wa usiku lkn akaingia Uganda tayari kwa mapambano!Gen Kombe aliuliwa na polisi kwa tuhuma kuwa ni mwizi sugu wa magari!!!!!
Mkurugenzi wa Usalama wa taifa anakuwaje hana walinzi ???Hahahaa umenikumbusha kifo chake alifutiliwa kuanzia dar hadi moshi akaenda kupugiwa risasi kwenye shamba la mahindi
Inaonekana kuna vitu unavijua ebu tueleze basi...acha kurukaruka!Mkurugenzi wa Usalama wa taifa anakuwaje hana walinzi ???
Hata Mugabe alikuwa na walinzi tena hao hao usalama wa taifa lakini wakamuweka chini ya ulinzi.Mkurugenzi wa Usalama wa taifa anakuwaje hana walinzi ???
Alikorofishana na mabosi zake wakaamua kumuondoaHivi inakuwaje Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa anauwawa kirahisi tu ?? Kwani hakuwa na walinzi wake ??
Andika vizuri hata Kenya kuna CCM piaDhambi za ccm hizo
IT WAS IMRAN KOMBE INFACT WHO ORDERED MORINGE SOKOINE"S PERSONAL BODYGUARDS TO HEAD TOWARD MONDULI INSTEAD OF ACCOMPANY HE FORMER PREMIER TO ROAD TRIP TO DAR......FEW PEOPLE KNOW THAT WHEN IMRAN WAS KILLED HIM AND HIS WIFE WERE ON THE WAY TO FLEE THE COUNTRY TO CANADA AFTER SMELT FISH....ON HIS ROLE AHEAD OF 1995 ELECTIONS...Vipi kuhusu ushawishi wake kwenye vyombo vya Usalama na medani za kisiasa??
Mbona yule wa Mbeya hafanywi lolote wakati alihusika na uchaguzi wa 2005 na 2015.IT WAS IMRAN KOMBE INFACT WHO ORDERED MORINGE SOKOINE"S PERSONAL BODYGUARDS TO HEAD TOWARD MONDULI INSTEAD OF ACCOMPANY HE FORMER PREMIER TO ROAD TRIP TO DAR......FEW PEOPLE KNOW THAT WHEN IMRAN WAS KILLED HIM AND HIS WIFE WERE ON THE WAY TO FLEE THE COUNTRY TO CANADA AFTER SMELT FISH....ON HIS ROLE AHEAD OF 1995 ELECTIONS...
Aliyemtwanga risasi Kombe yupo hai mpk leo,na yupo moja ya wilaya katika mkoa wa Tanga,ukimuona huwezi kumdhania...huwa havai uniform anavaa kawaida tu...Mods naomba mnilinde tafadhali....!!Hahahaa umenikumbusha kifo chake alifutiliwa kuanzia dar hadi moshi akaenda kupugiwa risasi kwenye shamba la mahindi
Wewe jifunze kiingereza siyo kutuandikia kinyakyusa humu ndaniIT WAS IMRAN KOMBE INFACT WHO ORDERED MORINGE SOKOINE"S PERSONAL BODYGUARDS TO HEAD TOWARD MONDULI INSTEAD OF ACCOMPANY HE FORMER PREMIER TO ROAD TRIP TO DAR......FEW PEOPLE KNOW THAT WHEN IMRAN WAS KILLED HIM AND HIS WIFE WERE ON THE WAY TO FLEE THE COUNTRY TO CANADA AFTER SMELT FISH....ON HIS ROLE AHEAD OF 1995 ELECTIONS...
Wewe jifunze kiingereza siyo kutuandikia kinyakyusa humu ndaniIT WAS IMRAN KOMBE INFACT WHO ORDERED MORINGE SOKOINE"S PERSONAL BODYGUARDS TO HEAD TOWARD MONDULI INSTEAD OF ACCOMPANY HE FORMER PREMIER TO ROAD TRIP TO DAR......FEW PEOPLE KNOW THAT WHEN IMRAN WAS KILLED HIM AND HIS WIFE WERE ON THE WAY TO FLEE THE COUNTRY TO CANADA AFTER SMELT FISH....ON HIS ROLE AHEAD OF 1995 ELECTIONS...
si ndio niko hapa kwa Ras Simba na 4figa ya hingrishyWewe jifunze kiingereza siyo kutuandikia kinyakyusa humu ndani
Uko wapi mkuu nataka nimjueAliyemtwanga risasi Kombe yupo hai mpk leo,na yupo moja ya wilaya katika mkoa wa Tanga,ukimuona huwezi kumdhania...huwa havai uniform anavaa kawaida tu...Mods naomba mnilinde tafadhali....!!
Narukaje tena ??Inaonekana kuna vitu unavijua ebu tueleze basi...acha kurukaruka!
🙂 unauliza maswali yanayoonyesha kunavitu unavijua.Narukaje tena ??