Wasifu wa Julius Nyerere: Matatizo katika historia ya TANU

Wasifu wa Julius Nyerere: Matatizo katika historia ya TANU

Moja ya vitu nivichukiavyo ktk hii nchi ni USIRI USIO NA MAANA juu ya Historia ya viongozi pamoja na nchi.

Mfano majaribio ya kumpindua Hayati Nyerere mpaka sasa hakuna kumbukumbu nzuri zozote zile za kueleweka na wala husikii haya mambo yakifundishwa mashuleni, ila tunasoma historia za akina Shaka Zulu, Ngoni Migration n.k

Ni aibu kubwa saaana kutokujua TANU imeanzia wapi na ilikuaje.

Ngoja niishie hapa.
 
Marashi,
Hapana haja ya hayo.

Mimi nimeandika historia ya uhuru kama nilivyojua ndani ya nyumba yetu na kutoka katika utafiti.

Hii inatosha
Lakini kitabu cha Sykes inaonesha ulilenga kufafanua mchango wa WAISLAM, si ndiyo mzee wangu? Wakristo je...?
 
Fogohz,
Maduka ya vitabu Ibn Hazm Msikiti wa Mtambani, Manyema na Mtoro
naishi karibu na msikiti wa mtoro, naomba list vitabu(reccomended) kama vitatu ambavyo unanishauri nivisome
 
naishi karibu na msikiti wa mtoro, naomba list vitabu(reccomended) kama vitatu ambavyo unanishauri nivisome
Fogoh2,
Soma Kwaheri Mkoloni, Sykes na kitabu chochote cha Hamza Njozi.
 
Lakini kitabu cha Sykes inaonesha ulilenga kufafanua mchango wa WAISLAM, si ndiyo mzee wangu? Wakristo je...?
Marashi,
:
"The Untold Story,"historia ambayo ilikuwa bado haijaandikwa.

Unaweza ukasoma historia za Wakrito katika, "Modern Tanzanians," Iliffe Ed. (1973).

Humo utamkuta Martin Kayamba na wengine lakini hawa hawakujihusisha na siasa.
 
Ningependa kufahamu ilikuwaje Nyerere akakutana na hao wazee wa dar?

Na hao wazee nini kiliwafanya wakamuamini kijana mdogo Nyerere wakampokea na kumpa uongozi wa Tanu?

Kwanini hao wazee hawakutaka madaraka ya kuongoza nchi kama marais wakapokezana kijiti na nyerere?
Cash,
Hilo kuwa Nyerere alipokewa na wazee si kweli.
Nyerere alipokewa na Abdul Sykes 1952.

Abdul alikuwa na miaka 28.

Hao wazee wanaozungumzwa ni Baraza la Wazee wa TANU chini ya Mwenyekiti Sheikh Suleiman Takadir.

Soma kitabu cha Abdul Sykes kila kitu nimekieleza.
 
6 July 2020
Lindi, Tanzania

MEMBE baada ya kurudisha kadi ya CCM/tutajiunga na chama tutagombea uongozi wa juu tutashinda
Bernard Carmillus Membe akiwa kijijini kwake Rondo mkoani Lindi kusini mwa Tanzania aongea mazito baada ya kuiacha CCM kwa kurudisha kadi ya uanachama.


Alihudumu chini ya Rais Jakaya Kikwete kama Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania kwa miaka 10. Pia alipata kuwa mbunge wa CCM jimbo la Mtama mkoani Lindi. Alihudumu kama afisa mwambata wa ubalozi wa Tanzania kwa miaka 10 huko Canada ktk bara la Marekani ya Kaskazini. Pia alipata kuwa Afisa Mchambuzi wa ripoti ktk Kurugenzi ya Usalama na Intelejensia wa Taifa TISS katika Ofisi ya Rais.

Hali ya kisiasa mikoa ya Lindi na Mtwara na kwingineko Tanzania kwa ujumla inaonesha waTanzania wapo tayari kwenda na Bernard Membe ili kuweza kuweka sawa masuala ya kama kilimo, uvuvi, mifugo, gesi na Maendeleo ya Watu.
Source : Gilly Bonny Online TV
 
Back
Top Bottom