Siyo kila kitu kinaandikwa kwenye wasifu.
Wanafamilia huwa wana uhuru wa kuandika mambo/matukio wanayoyaona yanafaa.
Wasifu wa Edward Lowasa umetatua madai kuwa aliwahi kugombea urais kupitia Chadema hivyo madai kuwa akina Nape waliwahi kimkashifu na kumdhihaki ni batili.
Who cares?wait,
chairman is speaking 🐒
R I P laigwanani comrade ENL
Safi sana. mjadala ufungwe sasaSiyo kila kitu kinaandikwa kwenye wasifu.
Wanafamilia huwa wana uhuru wa kuandika mambo/matukio wanayoyaona yanafaa.
Ni kweli, hasa kama kitu chenyewe ni ukweli unaoumiza. Mfano mtu kafa kwa HIV, huwezi kuandika hata kama ni ukweli maana unaumiza na kutia fedheha. Lakini kutoandika ukweli hakuuondoi.
Lengo la kufanya huo usanii ni nini?Ndio mumuelewe mzee Mohamed Said akilalamika kuwa historia ya Tanganyika imeandikwa kisanii🐒
Wasifu wa Edward Lowasa umetatua madai kuwa aliwahi kugombea urais kupitia Chadema hivyo madai kuwa akina Nape waliwahi kimkashifu na kumdhihaki ni batili.
Haya yatakuwa ni matatizo ya afya ya akili. Ukiona mtu hakubaliani na ukweli uliokuwa bayana, basi hapo ni lazima dishi litakuwa limepinda tu.Wasifu wa Edward Lowasa umetatua madai kuwa aliwahi kugombea urais kupitia Chadema hivyo madai kuwa akina Nape waliwahi kimkashifu na kumdhihaki ni batili.
Hawa CCM akili kisoda, Mbowe kawapa makavu live, history ya Lowassa haiwezekani kuandikwa bila kutaja ugombea wake wa urais kupitia Chadema.
Nchi imebeba matukio ya aibu kubwa.Wasifu wa Edward Lowasa umetatua madai kuwa aliwahi kugombea urais kupitia Chadema hivyo madai kuwa akina Nape waliwahi kimkashifu na kumdhihaki ni batili.
Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mcha Mungu zaidi katika nyinyi.[2] Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye habari." (Kurani 49:13)Wasifu wa Edward Lowasa umetatua madai kuwa aliwahi kugombea urais kupitia Chadema hivyo madai kuwa akina Nape waliwahi kimkashifu na kumdhihaki ni batili.
Uko sahihi kabisa. Lakini vp ikiwa kila jambo linaandikwa alilofanya huyu bwana katika maisha yake ya miaka 71 hapa duniani, je sherehe ya maziko ingeisha leo?
Nchi imebeba matukio ya aibu kubwa.
Rais anasimama mbele ya Taifa na kuruhusu wasaidizi wake kuongea uongo mkuu dhidi ya marehemu
Nina imani hata kule maktaba kwenye Tume yao ya Uchaguzi, napo wametoa hizo kumbukumbu.Wasifu wa Edward Lowasa umetatua madai kuwa aliwahi kugombea urais kupitia Chadema hivyo madai kuwa akina Nape waliwahi kimkashifu na kumdhihaki ni batili.