Wasifu wa Queen Sendiga - Mkuu wa Mkoa wa Iringa

Hapo kwenye umri Shombe la Kisomali umechemka!Kazaliwa 67au ana miaka 67?Hongera zako kwa historia fupi hii.
 
It might ukawa una umri kama wa Baba wangu Ila wewe ni miongoni mwa watu wapumbavu sana dunia..
Achana na mimi hii sio size yako
umri wangu sio issue hapa, issue wewe kuuliza suali la kijinga sana halafu kujiita msomi. Hebu sasa tuambie umesahwekewa cv yake imekusaidia nini au itakusaidia nini katika maisha yako ya sasa na ya baadae? Huo ndio ujinga na upumbavu ulio nao, unapoteza muda wako kutaka kuona cv za watu, kwa manufaa gani hasa? Wewe ni wale tunaosema wamekwenda shule lakini hawakuelimika!
 
Bila PhD mtu hajaitwa msomi
Hapana ndugu, tatizo la wenzetu ni kuwa hata wawe na Phd ngapi bado huwa hawaelimiki, hawabadiliki na kuwa na mtazamo na kufikiri kitaaluma, wanabaki kubabata tu na kujisifia kuwa wamefika chuo. Tanzania wamejaa tele watu kama hawa.
 
Jamani muwe mnaverify info sources. Huyu kweli kwa muonekano wake tu ana 67 years??
 
Kwahiyo hana haki hiyo?kujua CV ya kiongozi wake!
 
Kumbe anaelimu kuliko Mbowe, Hongera mama.
 
Unamuuliza nani? wewe uliyeandika huo wasifu ndio ulete CV yake.
 
Ana miaka "67" !!!! tupunguze haraka wakuu tunapotaka kusifia maana...
 
Baada ya kumaliza Darasa la saba alijiunga na kozi ya upishi Amazoni Training College campus ya Manzese.
 
Nakupongeza kwa kuweka picha. Mengine endeleeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…