Wasifu wa Queen Sendiga - Mkuu wa Mkoa wa Iringa

Sawasawa, nachukizwa sana pia na hii tabia. Well, huyo mama hana C.V. na sasa ni mwakilishi wa raisi mkoa wote wa Iringa!!
 
Ana miaka 67 Ila kazaliwa 73 😀😀

Huwa mnaandika huku mpo na nusu kaputi?
" amezaliwa 1973, sasa anamiaka 67? Hesabu za kirumi au kichina?
 
We unasema ana miaka 67 wakati hata 50 hajafikisha

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…