Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Hivi hukuona tulipoanzia 1961, au hata historia huwezi ukaisoma na kuielewa?
Si ndiyo maana tuliamua kukimbia kwa sababu tulikuwa nyuma? Sasa miaka 60 ya kukimbia haitoshi kuwafikia wanaotembea? Au hao wasomi wanaotuongoza wamekosea njia?
 
Si ndiyo maana tuliamua kukimbia kwa sababu tulikuwa nyuma? Sasa miaka 60 ya kukimbia haitoshi kuwafikia wanaotembea? Au hao wasomi wanaotuongoza wamekosea njia?
Unazungukia tu mle mle pamoja na kukupa majibu ya hayo unayouliza mara kadhaa. Ina maana akili yako haina uwezo wa kupanuka na ku'process' mambo mapya unayokumbana nayo maishani?.
 
Mungu nenda nasi.
 
Sikujua kuwa unao uwezo wa kuota ndoto za jinamizi kiasi hicho!

Samia awepo au asiwepo ikulu haibadili ukweli kuwa hana uwezo wa uongozi.
Teua rais wako wa ndotoni na muapishe halafu muweke katika ikulu yako ya ndotoni. Samia ndio rais wa JMT wa awamu ya sita na Mungu akipenda ni mpaka 2030.
 
Teua rais wako wa ndotoni na muapishe halafu muweke katika ikulu yako ya ndotoni. Samia ndio rais wa JMT wa awamu ya sita na Mungu akipenda ni mpaka 2030.
Mungu hawezi kuwa mali yako, na unajua hivyo.
Huyu akifika 2025 atakuwa kabahatika sana, siyo zaidi ya hapo.
 
Mungu hawezi kuwa mali yako, na unajua hivyo.
Huyu akifika 2025 atakuwa kabahatika sana, siyo zaidi ya hapo.
Waamuzi ni hao watu wa mikoani sio sisi mashujaa wa nyuma ya keyboard tunaoishi mijini.

Akitimiza ahadi zote za kampeni ya 2020 na kuweza kuanza nyingine mpya, atapeta tu bila ya kupingwa.
 
Naomba nijue wazazi wa mama yetu, sijawahi kuona makala Wala popote wakioneshwa au kusimuliwa. Imekuwa tofauti Kwa watangulizi wake hayati Magufuli wazazi wake wamesimuliwa na mama yake Susanna picha zake zinajulikana, Mzee wake apumzike Kwa amani. Pia mama mlezi wa JK amehojiwa na akaweka wazi kuwa wazazi wa JK walitangulia mbele za haki, mwenyezi Mungu awarehemu.

Kwa mama, yeye alisema baba yake alikuwa mwalimu, hajataja zaidi.

Vyombo vya habari hakuna vilivyomtaja, kama yupo au ametangulia.

Naomba wakuu mnisaidie kujua jina la Babu yetu, tumpongeze Kwa kuzaa mtoto mzuri, anaongoza vizuri na hakika alistahili kuwa alivyo.
 
Ukishinda lottery usijitowe kwenye tv utasababisha ndugu, majirani na marafiki kukuomba.

Au unaweza kusababisha maisha yako kuwa hatarini kwa majambazi.

Kuna watu wanapendelea maisha yao yasijulikane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…