Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Basi mkuu wa nchi tunataka awe smart maana yeye ndo engine hawa wengine ni body tu. Huwez kuwa unaletewa mamikataba unasign tu huko nikuliteketeza taifa
 
Basi mkuu wa nchi tunataka awe smart maana yeye ndo engine hawa wengine ni body tu. Huwez kuwa unaletewa mamikataba unasign tu huko nikuliteketeza taifa
Kwamba upo serious unatafuta watu smart ndani ya Tanzania? Smart people walishaamua kuachana na mambo ya hii nchi na wachache waliobaki wameamua kujihusisha na mambo yao wakati wengine wameamua potelea mbali acha na wao waitafune tu.
 
Kwamba upo serious unatafuta watu smart ndani ya Tanzania? Smart people walishaamua kuachana na mambo ya hii nchi na wachache waliobaki wameamua kujihusisha na mambo yao wakati wengine wameamua potelea mbali acha na wao waitafune tu.
Uzi umeungwa huu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Alifanya kazi ya PS kwa office,akajiendeleza,aliolewa mke wa 3.Kapambana kufika
hapo alipo.Ila kichwani si smart.
Hata Rais wa pili pili Ally Mwinyi nae elimu yake ya kuunga Unga tu, yani in short watu wa zanzibar Elim zao za mchakato
 
Wanawake siku zote hudanganywa..
 
Kachezee huko we mwendawazimu nini, Aya waambie waje wanidake saizi takataka wewe.
We shupaza kichwa tu kama hujatembezwa uchi mpaka Lindi kutoka Idodomya!! Kutoka Mpwayungu mpaka Kongwa nauli bei gani nkutumie ukamuulize mgogo mwenzio kilichomkuta??

Mpwayungu Village una nguvu kuliko ndugu Kazi Ndu Gai??


Diploma yako ya Education Marangu TTC isikuvimbishe kichwa!! Utaumiza makalio Bwa mdogo.
 
Siongeagi na matahila get out of me
 
Hata Rais wa pili pili Ally Mwinyi nae elimu yake ya kuunga Unga tu, yani in short watu wa zanzibar Elim zao za mchakato
Nimeona hapa: "Aliolewa mwaka wa 1978, kwa Bw Hafidh Ameir, ambaye wakati huo alikuwa afisa wa Kilimo"; Yaani sijui nimeangalia vibaya. Alizaliwa 1960; yaani kaolewa miaka 18, kasoma lini? Kwa bongo ya wakati ule kuolewa na kusoma kazi hasa; huyu ni GENIUS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…