Unaweza kuweka rough estimation ya cost kwa mtu anayejenga Dar? Assume kiwanja kipo, ni kizuri na wala usiingie kwenye details kwani huu ujuzi unahitaji ujira. BTW kwenye nyumba za Bongo kuna hiki kituy cha kukariri eti ''public toilet''. Hili ni kosa kwani nyumba ya kuishi haiwezi kuwa na public toilet kwa maana yake halisi. Tujaribu kusema tu idadi ya vyoo.Ina vyumba vitatu vya kulala
*master bedroom
*vyumba viwili vya kawaida
*jiko
*store
*sebule
*dining
*choo(public)
Mwenge Lufungira
Ofisi ndogo buguruni malapa.
0678418272 whatsapp /call
abuuammar11@gmail.comView attachment 2636312View attachment 2636313View attachment 2636314
33M-38MUnaweza kuweka rough estimation ya cost kwa mtu anayejenga Dar? Assume kiwanja kipo, ni kizuri na wala usiingie kwenye details kwani huu ujuzi unahitaji ujira. BTW kwenye nyumba za Bongo kuna hiki kituy cha kukariri eti ''public toilet''. Hili ni kosa kwani nyumba ya kuishi haiwezi kuwa na public toilet kwa maana yake halisi. Tujaribu kusema tu idadi ya vyoo.
hii ina apande mbili, na ina vipimo vya 14.8M x 8M...?? au upande mmoja ndio una vipimo hivyo?Aprtment design kwa ajili ya kupangisha
-ina pande mbili
Kila upande una:-
*master
*chumba cha kawaida
*jiko
*sebule(open dining ndogo)
*choo
Ina ukubwa wa mita 14.8 kwa mita 8.
Mwenge Rufungila
Ofisi ndogo buguruni malapa.
0678418272 whatsapp /call
abuuammar11@gmail.comView attachment 2636278View attachment 2636279View attachment 2636280