INAUZWA Wasiliana nami kwa mahitaji ya ramani

INAUZWA Wasiliana nami kwa mahitaji ya ramani

Wachatech

Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
8
Reaction score
17
Ramani ya nyumba hii ina;

-Vyumba vinne vya kulala
Kimoja master,kingine self na viwili vya kawaida
-sebule
-jiko
-store
-dining
-public toilet
Ina ukubwa wa mita 17 kwa 13

Kwa mahitaji ya ramani hii na ramani zingine
Wasiliana nami whatsapp

0678418272

abuuammar11@gmail.com

IMG-20200905-WA0121.jpg
 

Attachments

  • IMG-20200903-WA0040.jpg
    IMG-20200903-WA0040.jpg
    91.5 KB · Views: 24
  • IMG-20200905-WA0120.jpg
    IMG-20200905-WA0120.jpg
    73.6 KB · Views: 21
Ina vyumba vitatu vya kulala

*master bedroom
*vyumba viwili vya kawaida
*jiko
*store
*sebule
*dining
*choo(public)



Mwenge Lufungira

Ofisi ndogo buguruni malapa.

0678418272 whatsapp /call

abuuammar11@gmail.comView attachment 2636312View attachment 2636313View attachment 2636314
Unaweza kuweka rough estimation ya cost kwa mtu anayejenga Dar? Assume kiwanja kipo, ni kizuri na wala usiingie kwenye details kwani huu ujuzi unahitaji ujira. BTW kwenye nyumba za Bongo kuna hiki kituy cha kukariri eti ''public toilet''. Hili ni kosa kwani nyumba ya kuishi haiwezi kuwa na public toilet kwa maana yake halisi. Tujaribu kusema tu idadi ya vyoo.
 
Unaweza kuweka rough estimation ya cost kwa mtu anayejenga Dar? Assume kiwanja kipo, ni kizuri na wala usiingie kwenye details kwani huu ujuzi unahitaji ujira. BTW kwenye nyumba za Bongo kuna hiki kituy cha kukariri eti ''public toilet''. Hili ni kosa kwani nyumba ya kuishi haiwezi kuwa na public toilet kwa maana yake halisi. Tujaribu kusema tu idadi ya vyoo.
33M-38M
 
Back
Top Bottom