Wasimamizi wa mitihani shule za madhehebu ya Dini wajikumbushe taratibu za madhehebu husika

Wasimamizi wa mitihani shule za madhehebu ya Dini wajikumbushe taratibu za madhehebu husika

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Nafikiri kuwepo na mafundisho rasmi yanayoelekeza wasimamizi wanaosimamia mitihani shule za madhehebu ya dini kujua mipaka yao ili wasiingilie zile taratibu za kawaida zilizokubaliwa na serikali.

Hivi inakuwaje msimamizi mwanamme; ana anza kuwavua Watoto wakike vitambaa na mara nyingine wakiwa kwenye mtihani kuwapa usumbufu wa hapa na pale eti anajirizisha kuwa hawaibii mtihani?

Hili lilitokea kule Mwanga mkoani Kilimanjaro na baada ya kuleta mtafaruku mkubwa, yule msimamizi alihamishiwa kituo kingine. Natumaini alichukuliwa hatua stahiki kwani kumuhamisha haikuwa adhabu.
Nakumbushia tu kwa maana mitihani imekaribia.....
 
Zingatia sharia ya Tiss ya 1979,Masuala ya mitihani ni siri
 
Nafikiri kuwepo na mafundisho rasmi yanayoelekeza wasimamizi wanaosimamia mitihani shule za madhehebu ya dini kujua mipaka yao ili wasiingilie zile taratibu za kawaida zilizokubaliwa na serikali.

Hivi inakuwaje msimamizi mwanamme; ana anza kuwavua Watoto wakike vitambaa na mara nyingine wakiwa kwenye mtihani kuwapa usumbufu wa hapa na pale eti anajirizisha kuwa hawaibii mtihani?

Hili lilitokea kule Mwanga mkoani Kilimanjaro na baada ya kuleta mtafaruku mkubwa, yule msimamizi alihamishiwa kituo kingine. Natumaini alichukuliwa hatua stahiki kwani kumuhamisha haikuwa adhabu.
Nakumbushia tu kwa maana mitihani imekaribia.....
Uvaaji unatotia shaka kwa watahiniwa unapaswa kupigwa marufuku.

Ukweli ni kuwa humo kwenye ushungi wanaficha sana vibuti.

Lakini pamoja na yote, wale wanaofanya mitihani kwa haki bado wanabaki kuwa vinara na kuwaacha mbali wavaa ushungi.
 
Kuna binti Zanzibari alikamatwa karekodi "nondo" anasikiliza na eaphone!ubunifu wa hali ya juu!
 
Uvaaji unatotia shaka kwa watahiniwa unapaswa kupigwa marufuku.

Ukweli ni kuwa humo kwenye ushungi wanaficha sana vibuti.

Lakini pamoja na yote, wale wanaofanya mitihani kwa haki bado wanabaki kuwa vinara na kuwaacha mbali wavaa ushungi.
hii ni dhana potofu sana
kama kweli ushungi ungekuwa unasaidia si wangekuwa wanaongoza kwa ufaulu ?
Na ukifuatilia baadhi ya hao unaosema wanaongoza kwa ufaulu ndio vinara wa kuiba mitihani kila mwaka
na pengine ndio sababu wanatumia nguvu kubwa ili hawa wengine wasifaulu ili wao waendelee kuongoza
 
Kuna binti Zanzibari alikamatwa karekodi "nondo" anasikiliza na eaphone!ubunifu wa hali ya juu!

Kama judgment zingefanywa kwa kutumia narrow criteria kama hii ya kwako; hakuna kitu kingeweza kufanyika duniani. Namaanisha huwezi kuhukumu watu kwa incident inayohusha 0.05% ya idadi ya wahusika, huko ni kukosa maarifa
 
Unataka watumie mabuibui kuficha Nondo. Niliona SUA walikuwa wanaweka vibomu alafu hataki wasachiwe.
Rudia kusoma nilicho andika...
" wasimamizi wasiingilie zile taratibu za kawaida zilizokubaliwa na serikali"
 
Back
Top Bottom