Wasimamizi wa vyombo vya habari hakikisheni habari zinazenda kwa wananchi zimethibitishwa, mnatulisha matango pori

Wasimamizi wa vyombo vya habari hakikisheni habari zinazenda kwa wananchi zimethibitishwa, mnatulisha matango pori

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Leo Mjanja M1 nimechukizwa sana, tena sana. Hivi nyie wasimamizi vya vyombo vya habari kazi yenu kubwa ni nini?

Mnaacha watu wanalishwa matango pori na watu wenye media kubwa na hamchukui hatua yoyote.

Angalia hii habari hapa chini, nimejaribu kuziba jina la hiyo media ili kutomchafua kwakuwa naamini anaweza kujirekebisha.

Screenshot_20240816-100813_2.jpg

Kwenye hii habari hapo Keir Starmer alikuwa sio waziri mkuu na ilikuwa ni kipindi cha corona lakini mwandishi ameamua kupost na kuwafanya watu wasiofuatilia habari waamini kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza ametimuliwa kwenye Bar kipindi hiki akiwa waziri mkuu.

Kama umeiona hiyo habari utakubaliana na mimi, maana wachangiaji wengi walikuwa wanatoa maoni wakiamini kuwa ni Waziri Mkuu ndio alifukuzwa kwenye mgahawa.

Ukija kwenye media nyengine za online ndio balaa zaidi, maana na huko kuna matango pori kinomah!

Ushauri - enyi wamiliki wa hizi media za online, fanyeni busara ya kupost habari zenye ukweli na zisizoleta mtafaruku na uongo kwa wasomaji wenu.

Note: Mjanja M1 kwasasa napatikana Los Angeles nchini Marekani 🇺🇸
 
Ulificha jina la media unataka sisi tujiridhishe vipi?
 
ANGALIZO: MODS HUU UZI MKIUFUTA MTAKUWA MNATETEA UONGO KWENYE VYOMBO VYA HABARI.

Leo Mjanja M1 nimechukizwa sana, tena sana.

Hivi nyie wasimamizi vya vyombo vya habari kazi yenu kubwa ni nini?

Mnaacha watu wanalishwa matango pori na watu wenye media kubwa na hamchukui hatua yoyote.

Angalia hii habari hapa chini, nimejaribu kuziba jina la hiyo media ili kutomchafua kwakuwa naamini anaweza kujirekebisha.

View attachment 3071536

Kwenye hii habari hapo Keir Starmer alikuwa sio waziri mkuu na ilikuwa ni kipindi cha corona lakini mwandishi ameamua kupost na kuwafanya watu wasiofuatilia habari waamini kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza ametimuliwa kwenye Bar kipindi hiki akiwa waziri mkuu.

Kama umeiona hiyo habari utakubaliana na mimi, maana wachangiaji wengi walikuwa wanatoa maoni wakiamini kuwa ni Waziri Mkuu ndio alifukuzwa kwenye mgahawa.

Ukija kwenye media nyengine za online ndio balaa zaidi, maana na huko kuna matango pori kinomah!

USHAURI - ENYI WAMILIKI WA HIZI MEDIA ZA ONLINE, FANYENI BUSARA YA KUPOST HABARI ZENYE UKWELI NA ZISIZOLETA MTAFARUKU NA UONGO KWA WASOMAJI WENU.

Note: Mjanja M1 kwasasa napatikana Los Angeles nchini Marekani 🇺🇸
Wachangisji wa JF hata uwafahamishe vipi wao wataendelea na uwaziri mkuu, ni wagumu kuelewa.
 
Back
Top Bottom