Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
1. Ana ruhusa ya kuidhinisha vita (maelfu ya watu wafe).
2. Ana ruhusa ya kuua RASMI kila baada ya muda fulani.
3. Ana ruhusa ya kulindwa maisha yake yote (hubadilika kikatiba kutegemeana na nchi)
4. Ana bastola maalumu isiyo na utambulisho wa ganda ikitokea amekuua hana kesi.
5. Anamzidi raia yoyote kwa viwango vyote kwa 100%, hutafanana na Rais awe mstahafu au incumbent.
6. Rais ni alama ya nchi hivyo huwezi kupambana wala kushindana na nchi.
2. Ana ruhusa ya kuua RASMI kila baada ya muda fulani.
3. Ana ruhusa ya kulindwa maisha yake yote (hubadilika kikatiba kutegemeana na nchi)
4. Ana bastola maalumu isiyo na utambulisho wa ganda ikitokea amekuua hana kesi.
5. Anamzidi raia yoyote kwa viwango vyote kwa 100%, hutafanana na Rais awe mstahafu au incumbent.
6. Rais ni alama ya nchi hivyo huwezi kupambana wala kushindana na nchi.