Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati ya WANADAMU unaowaona, 40% pekee ndo WANADAMU ambao hawajachanganya uzao, yaani ametokana na baba na mama wote ni WANADAMU.Anaweza kuwa amechanganya uzao.. ufafanuzi mkuu
Ulinzi usioonekana ninaoutegemea ni ule wa Malaika wa Mungu Mkuu, huo wa majini au hirizi ya kalimanzila ni bora niukose huo urais aisee.....Ndio, sasa raia jichanganye uone
Na una bahati ulibaki.Hapo namba mbili Jiwe aliitumia vizuri hiyo ruhusa.
Kuna nguvu za nuru na nguvu za Giza, chaguo ni lakoUlinzi usioonekana ninaoutegemea ni ule wa Malaika wa Mungu Mkuu, huo wa majini au hirizi ya kalimanzila ni bora niukose huo urais aisee.....
Tony Blair ni rais ?AKILI ZA KIAFRIKA NI KINYESI KITUPU!
RAIS WA NETHERLAND ANAENDA KAZINI NA BAISKELI....
TONY BLAIR HUWA ANASAFIRI BILA ULINZI WOWOTE BAADA YA KUSTAAFU..SASA WEWE HUU UPUMBAVU UMEUTOA WAPI?