Wasiojua Cheo cha Urais ulimwenguni someni hapa

Wasiojua Cheo cha Urais ulimwenguni someni hapa

Ni binadamu tu huyo kama wengine.

Mleta mada naona umepata somo kwa malkia wa uingereza.
 
Anaweza kuwa amechanganya uzao.. ufafanuzi mkuu
Kati ya WANADAMU unaowaona, 40% pekee ndo WANADAMU ambao hawajachanganya uzao, yaani ametokana na baba na mama wote ni WANADAMU.

60% ya WANADAMU uwaonao ni nusu mtu, nusu pepo, yaani Baba ni PEPO amezaa na mwanadamu, au mama ni PEPO amezaa na mwanaume mwanadamu bila mtu huyo kujua.

Hitler ni mmoja wa viongozi waliotawala duniani akiwa ni nusu mtu nusu pepo, Imani huja Kwa kusikia.........

Ameeeen
 
AKILI ZA KIAFRIKA NI KINYESI KITUPU!

RAIS WA NETHERLAND ANAENDA KAZINI NA BAISKELI....

TONY BLAIR HUWA ANASAFIRI BILA ULINZI WOWOTE BAADA YA KUSTAAFU..SASA WEWE HUU UPUMBAVU UMEUTOA WAPI?
Tony Blair ni rais ?
 
Back
Top Bottom