Wasiojulikana Mikononi mwa Dkt. Christopher na Kilawa

Kwahiyo shindo kilawa alinyooshaje mikono alirudi ccm au bado Yuko na misimamo yake?
Ha ha Central kugumu bro sijui kwanini mwenzake hakukoma..u
Nikiwajua inanisaidia nini mi nmezaliwa Kariakoo,primary Mnazi Mmoja sekondary Forodhani chuo IFM ila siwajui hao shitholes
Utakuwa una hang over wewe au umri wako Ni ule wa KKB
 
Ha ha Central kugumu bro sijui kwanini mwenzake hakukoma..uUtakuwa una hang over wewe au umri wako Ni ule wa KKB
Nimezaliwa mjini mzani ukiwa ubungo,nimekula hadi buruga
 
Sijaelewa chochote. Naomba alieelewa anipe majibu
 
Sasa umekuja kujitetea na kuweka promo mpuuzi wewe

USSR
Na wewe kila uzi wa wasiojulikaba umo. Unajifanya na wewe ni wale wasiojulikana. Wewe ni kingai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…