Wasiojulikana wachoma gari la Mwenyekiti wa UVCCM Lindi

Wasiojulikana wachoma gari la Mwenyekiti wa UVCCM Lindi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Watu wasiofahamika wamechoma moto gari la Mwenyekiti wa vijana CCM wilaya ya Lindi bwana Frenk Mzani Menuka na kusababisha uharibifu mkubwa kwa gari hilo aina ya Toyota Cresta GX 100 lenye namba za usajili T 402 BCH ambalo lilikuwa limeegeshwa kwenye nyumba anayoishi Mwenyekiti huyo wa vijana.

Tukio hilo limetokea usiku wa Februari 06, 2025 baada ya Mwenyekiti huyo kurudi katika mizunguko yake majira ya saa tisa na nusu usiku na ndipo alibaini kutokea kwa tukio hilo baada ya muda mchache tu kurudi nyumbani kwake hapo na baada ya kuegesha gari hilo aliingia ndani haikuchukuwa muda ndipo akabaini kutokea kwa tukio hilo ambalo limegharimu hasara uharibifu mkubwa eneo la injini sehemu ambayo walilenga wahalifu hao.

Jeshi la Polisi mkoa wa Lindi limeanza upelelezi wa kubaini watuhumiwa waliohusika kutenda kosa hilo.

Snapinst.app_476563058_18337365424156445_1603050115136605924_n_1080.jpg
 
Watu wasiofahamika wamechoma moto gari la Mwenyekiti wa vijana CCM wilaya ya Lindi bwana Frenk Mzani Menuka na kusababisha uharibifu mkubwa kwa gari hilo aina ya Toyota Cresta GX 100 lenye namba za usajili T 402 BCH ambalo lilikuwa limeegeshwa kwenye nyumba anayoishi Mwenyekiti huyo wa vijana.
Hata yule wa Kilolo walisema ameuawa na wasiojulikana kumbe ni wajumbe wenzake
 
Watu wasiofahamika wamechoma moto gari la Mwenyekiti wa vijana CCM wilaya ya Lindi bwana Frenk Mzani Menuka na kusababisha uharibifu mkubwa kwa gari hilo aina ya Toyota Cresta GX 100 lenye namba za usajili T 402 BCH ambalo lilikuwa limeegeshwa kwenye nyumba anayoishi Mwenyekiti huyo wa vijana.

Tukio hilo limetokea usiku wa Februari 06, 2025 baada ya Mwenyekiti huyo kurudi katika mizunguko yake majira ya saa tisa na nusu usiku na ndipo alibaini kutokea kwa tukio hilo baada ya muda mchache tu kurudi nyumbani kwake hapo na baada ya kuegesha gari hilo aliingia ndani haikuchukuwa muda ndipo akabaini kutokea kwa tukio hilo ambalo limegharimu hasara uharibifu mkubwa eneo la injini sehemu ambayo walilenga wahalifu hao.

Jeshi la Polisi mkoa wa Lindi limeanza upelelezi wa kubaini watuhumiwa waliohusika kutenda kosa hilo.

gari nzee, imejilipukia yenyewe hiyo
 
Watu wasiofahamika wamechoma moto gari la Mwenyekiti wa vijana CCM wilaya ya Lindi bwana Frenk Mzani Menuka na kusababisha uharibifu mkubwa kwa gari hilo aina ya Toyota Cresta GX 100 lenye namba za usajili T 402 BCH ambalo lilikuwa limeegeshwa kwenye nyumba anayoishi Mwenyekiti huyo wa vijana.

Tukio hilo limetokea usiku wa Februari 06, 2025 baada ya Mwenyekiti huyo kurudi katika mizunguko yake majira ya saa tisa na nusu usiku na ndipo alibaini kutokea kwa tukio hilo baada ya muda mchache tu kurudi nyumbani kwake hapo na baada ya kuegesha gari hilo aliingia ndani haikuchukuwa muda ndipo akabaini kutokea kwa tukio hilo ambalo limegharimu hasara uharibifu mkubwa eneo la injini sehemu ambayo walilenga wahalifu hao.

Jeshi la Polisi mkoa wa Lindi limeanza upelelezi wa kubaini watuhumiwa waliohusika kutenda kosa hilo.

Saa tisa usiku anatoka wapi, isije kuwa kaiba mke wa mtu huyu
 
Dah! Inasikitisha, yaani una kausafiri kako kwa ajili ya kuendesha maisha, watu wanachoma moto.
 
Back
Top Bottom