Wasiojulikana wachoma gari la Mwenyekiti wa UVCCM Lindi

Kumeanza kuchangamka mpka September tutaona meng
 
Hilo jamaa lilitoka kulewa sasa likawa linavuta fegi lilipota kuingia ndani likatupa kichungi uelekeo wa gari kumbe hakijazima gari ikawaka.
Kama ni kweli hawezi kuyasema haya , atabaki kutafuta kiki ati wasiojulikana ,
 
Hiyo gari au kibatatli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…