Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Paroko wa Parokia ya Narumu, kata ya Machame Mashariki mkoani Kilimanjaro, Padri Thomas Chuwa amelaani vikali kitendo kilichofanyika katika Ibada ya Jumapili iliyopita baada ya mtu/watu wasiojulikana kuiba kapu la sadaka Kanisani na kuwataka Waamuni kusali sala maalum kwa siku 3.