TANZIA Wasiojulikana wamuua Isack Mallya na kumtupa nje ya nyumba yake

Polisi tuondoleeni hao walinzi nyuma ya muongeaji, pole Kwa wafiwa na wahusika wapatikane ili Sheria ichukue mkondo wake.
 
Dhambi za kujitaftia tu hizo, sasa mzee wa 72 yrs unamuua ili iweje. Kibongobongo miaka hiyo wazee wengi wanakua hawana nguvu, zaidi ya maneno maneno na karaha za uzee tu.
 
Dhambi za kujitaftia tu hizo, sasa mzee wa 72 yrs unamuua ili iweje. Kibongobongo miaka hiyo wazee wengi wanakua hawana nguvu, zaidi ya maneno maneno na karaha za uzee tu.
Pengine vijana wanaharaka na urithi kabla mzee hajaufuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…