Charles Gerald
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 1,403
- 1,837
Khatolik' kwa Wakinga. Nzuri sana ikichanganywa na mbegu za Bangi.Hii ni mboga flani tamu sana hasa ikikutana na mpishi anaejua kuipika kwa kuchanganya viungo flan..
JE KWA KABILA Lenu MNAIITAJE HII MBOGA?
naanza: lisebho (wangoreme na wakurya)
View attachment 2028804
Songea moja hiyoPitiku
likolo na nyunguPitiku
[emoji23][emoji23][emoji23],Kula mboga mboga MzeeMimi nikajua umeweka kitimoto,
Kumbe majani, utafikiri sisi ni mbuzi.
Bombii nyumbiiPitiku
Ha ha haBombii nyumbii
Nkhoko πOmutontozi
Umenikumbusha nyumbani wa kwetuOmutontozi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] likita kulyolyopa hasa chihuku afu livya la masi na mwinyo. WeuweeeeeeeLikolu la "NANYUNGU"
Chimbondi chene cha matevele mweee cha yikita kulyolopa kwee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ichanganywe na chimbondi [emoji39][emoji39][emoji39]