Wasiokuwa na connection husota sana

Wasiokuwa na connection husota sana

Mfikirishi

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
8,939
Reaction score
10,403
Ndiyo! Nchi ishavurugwa sana hii. Narudia, wasiokuwa na connection wataendelea kusota sana!

Kuna kipindi hapo nyuma nilisoma post ya Mbasha akidai kuwa Waziri wa afya alimsaidia akapata matibabu ya uhakika!

Kama hiyo haitoshi kuna idadi kubwa ya vijana wanajitokeza hadharani kukiri kuwa bila kiongozi Fulani wasingefika walipo.

Yaani kifupi mafanikio yao yalipata favor fulani kutoka kwa kiongozi Fulani. Na ni Siri ya wazi kuwa vijana wengi wapo uvccm wakihangaikia favors.

Vijana mliolala amkeni! Nafasi zipo tatizo ni nani anakujuaaa!

Screenshot_20230513-220813.png
 
Kumbe ni kujuana na sio merits. Mpaka hapo Nappe,January wapo hapo walipo wa sababu ya connection.
 
Wanakuzonga vipi sasa....
Inawezekana ukatoboa bila connection...amini nakwambia
Amin Amin nakwambia. Kutoboa utatoa lakini ubaki low key! Maisha yako yote⁸·
 
Mfumo wetu wa maisha umejengwa hivyo hatuna namna maana hapo haitojalisha uwezo wa mtu bali kuungiwa waya pekee (Connection) utasikia wazee wa simu moja anakula shavu. Tupeane connection wana jf kwani huko nako ni kujiwekea akiba ya kesho.
 
Kuna mtu nmeongea nae leo kaniambia mwaka jana alipata ajira tamisemi kwa konection, huyu nimesoma nae na ni rafik yangu. Nchi ya ovyo sana
 
Back
Top Bottom