Wasiokuwa waislam, hamtaki maisha haya?

Akhera ni kuzimu!hakuna maisha maisha kuzimu ya maana zaidi ya kutua kwanza kuzimu kavu ndio yenye anasa kidogo kabla ya kwenda kuzimu kuu yenye mateso na Moto was milele!

Fate ya Kila muislamu ni huko akhera (kuzimu=chini baada ya ardhi) na fate ya Kila mkristo ni juuuu mbinguni zaidi ya mbingu saba!!

Watafute mashekhe wakuambie akhera ni wapi !we mwenyewe utashngaa!!
 
Haya vipi kuhusu hai christians wanao pigia magoti sanamu ya cement??
 
Ndio watakuwepo ila kula inaruhusiwa tu ukila umejificha siyo hadharani. Ukila hadharani ndio dhambi kama duniani tu.
Mbrrr mbrrr mbrrr Kamoon.
Kama hamli nguruwe msinywe na maji Mana Nguruwe walikuja kufia kwenye maji mbona hi stories manikatia kwa Afisa.Gwiiii.
 
Aisee umenifumbua macho, maana mimi mwenyewe nilikuwa na wasiwasi hiyo 'Akhera' ni Kuzimu. Kumbe ni kweli bhana!
 
Aisee umenifumbua macho, maana mimi mwenyewe nilikuwa na wasiwasi hiyo 'Akhera' ni Kuzimu. Kumbe ni kweli bhana!
Akhera ni afterlife yaani baada ya maisha haya!

Quran ime focus kwenye maisha baada ya hapa duniani ukishakua mzimu huko kuzimu!sio kwenda mbinguni huko zilipo mbingu Saba!
Mtume Bado yupo kuzimu Hadi Leo sawa na roho za wafu wengine,yesu na watakatifu wote watamfuata huko zaidi ya mbingu ya Saba!!

Wakati hao wengine wakiishia kuzimu akhera Yao ya milele!
 
Mabikra 72
 

Attachments

  • 5801436-1899b43f81d8a7ccf4cd2a31ba3b740.mp4
    4.4 MB
NGURUWE watakuwepo ?
Sijui huyu mnyama alimkosea nini alah.

Yaani hataki hata kumsikia ataahidi ahadi zote za kufikirika lakini hukuti akiahidi hata kwa bahati mbaya kuhusu huyu mnyama,mimi nadhani ya mabikra 72 angeitoa imekaa kisanii sana akaweka ya nguruwe ingeleta maana zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…