Wasiomuelewa Hussein Bashe kwenye sukari waelewe swali la Dkt.Tulia

Wasiomuelewa Hussein Bashe kwenye sukari waelewe swali la Dkt.Tulia

Inawezekana kabisa Bashe alikuwa na majibu ya hoja zote za Mpina (he is a good debator after all.)

Kitendo cha speaker kuuzima mjadala bila ya serikali kujibu hoja. Huko ni kuuonyesha umma CCM na serikali inalea mafisadi. Hasa ukizingatia michango ya mapoyoyo waliomshambulia Mpina.

Mpina kaleta facts based on what transpired from original sources, angeachwa Bashe ajibu knowing him he is capable.

Kitendo cha kukingiwa kifua ndio kinamfanya speaker aonekane mtu wa hovyo na Bashe ni fisadi (kwa sababu ajatolea justification hoja za Mpina)

Mapoyoyo kama Kibajaji, Msukuma na wengine wa hovyo hawaku address hoja za Mpina zaidi ya kufanya personal attack na uchawa tu kwa speaker ambae kwa sasa hana credibility kwenye jamii.
Umenena vyema ndugu,hata mm nilikuwa najiuliza kama Bashe aliweza kupeleka vielelezo na majibu kwa kamati ya maadili ni nini kilimfanya Spika asimuamuru Bashe alete majibu..Ama niseme ni kwann hakumuacha Mpina amalize hoja yake na ampe muda waziri alete majibu!?Why alizima mjadala...
 
Umenena vyema ndugu,hata mm nilikuwa najiuliza kama Bashe aliweza kupeleka vielelezo na majibu kwa kamati ya maadili ni nini kilimfanya Spika asimuamuru Bashe alete majibu..Ama niseme ni kwann hakumuacha Mpina amalize hoja yake na ampe muda waziri alete majibu!?Why alizima mjadala...
Mjadala upi ulizimwa? Kwasababu wote wawili waliitwa kwenye kamati na hukumu imetolewa na Bunge. Vielelezo vyote vilipelekwa kwenye kamati na kamati ilisoma taarifa yake bungeni na ikithibitika Mpina alishindwa kuthibitisha uongo wa Bashe kwa baadhi ya tuhuma na akakutwa na kosa lingine la kukiuka taratibu za kibunge na kudharau mamlaka ya Spika

Ulitaka apewe jukwaa gani tena la kumjadili wakati hataki kufuata taratibu zilizopo?

Kwenye hili swala la sukari Mpina hayuko upande wetu walaji, yuko na wenye viwanda (Bourgiesie)
 
Back
Top Bottom