Group 1. Kuna Watanzania ambao wanaamini nchi yetu inahitaji dikteta ambaye ataendesha nchi kimabavu na kuwa kama Mungu mtu.
Dikteta ambaye awe na uwezo wa kufunga yeyote, kuuwa yeyote na kufanya lolote kwasababu yeye ndiye atakayejua nani ni muhimu na manufaa kwa taifa.
Huyu mtu Mungu ndiyo yeye atuambie watu milioni 62 nani ni mzalendo na nani ni msaliti. Kuna wanao amini kabisa kwamba hii ndiyo style ya kuendeleza nchi yetu.
Group 2. Lakini kuna wengine wanasema nchi inahitaji haki kwa kila mwananchi kuchagua watu wa kuwaongoza, tutaendelea kwa biashara huru na za ushindani na uwazi wa nchi na mawazo ndiyo utatufanya tuendelee.
Lakini hawa wanaamini tuwe na katiba nzuri ya nchi bila kujali chama au vyama vya siasa. Hawa wanaamini tutaendelea kwa kuwa na katiba nzuri yaani mfumo mzuri na sio kuwa na mtu mzuri kwasababu kama unaweza kuwa na kiongozi mzuri vilevile unaweza kuwa na kiongozi mbaya.
Tumeshaona kuna madikteta mazuri na kuna madikteta wabaya. Lakini tukiwa na mfumo mzuri hata kiongozi akiwa mbaya bado nchi itaenda mbele au wananchi wataweza kumtoa kwa kupitia kura.
Dikteta ambaye awe na uwezo wa kufunga yeyote, kuuwa yeyote na kufanya lolote kwasababu yeye ndiye atakayejua nani ni muhimu na manufaa kwa taifa.
Huyu mtu Mungu ndiyo yeye atuambie watu milioni 62 nani ni mzalendo na nani ni msaliti. Kuna wanao amini kabisa kwamba hii ndiyo style ya kuendeleza nchi yetu.
Group 2. Lakini kuna wengine wanasema nchi inahitaji haki kwa kila mwananchi kuchagua watu wa kuwaongoza, tutaendelea kwa biashara huru na za ushindani na uwazi wa nchi na mawazo ndiyo utatufanya tuendelee.
Lakini hawa wanaamini tuwe na katiba nzuri ya nchi bila kujali chama au vyama vya siasa. Hawa wanaamini tutaendelea kwa kuwa na katiba nzuri yaani mfumo mzuri na sio kuwa na mtu mzuri kwasababu kama unaweza kuwa na kiongozi mzuri vilevile unaweza kuwa na kiongozi mbaya.
Tumeshaona kuna madikteta mazuri na kuna madikteta wabaya. Lakini tukiwa na mfumo mzuri hata kiongozi akiwa mbaya bado nchi itaenda mbele au wananchi wataweza kumtoa kwa kupitia kura.