- Ongeza Zitto kwenye list.
mmmh! Mkuu, kwanini Zitto? mi namwona yupo kwenye top 10 ya wabunge wanaotufaa.
- Ongeza Zitto kwenye list.
Ndugu Pretty,
JF kuna wakongwe kumbe, watu wanakumbuka mambo ya mwaka 1984 yaliosemwa na mzee Malecela.
Kweli kabisa swala la KINGUNGE kuwa bado mbunge inatia haibu na inawanyima vijana haki kabisa huyu jamaa anatakiwa alalembele .Kama aliwekwa kwa ajili ya kutishia vyama vya upinzani aambiwe vyama havina nguvu.Hata michango yake haina nguvu kabisa .Anatakiwa akaye nyumbani watu wale masaa ya kumtunza.
Pia mzee Malekela anatakiwa apumzike sasa inatosha kwani hana jipya kabisa bali ni kusifia ufisadi .Mtambo mwingine ni Pius Msekwa huu nao umechoka kwani hana jipya hao jamaa ndio wanalea uozo wa ccm.
Sidhani kama na wewe umetumia muda wa kufikiri kisha ukaandika maana inaonyesha una mawazo mgando kiasi kwamba unadhani mtera hakuna mtu anayeweza kuongoza kuliko huyo mbunge unayemfikiria! Maana akitoka tu tumekwisha, me sidhani kama tutakwisha kama unavyotaka iwe, kwetu mtera kuna- Mzalendohalisi kwa nini usiongelee jimbo laKo, ninakwambia hivi kwenye jimbo letu la Mtera, huyu mbunge akiondoka tu tumekwisha, sasa msituletee matatizo yenu ya siasa zenu huko Mbeya, sisi Dodoma hatuna matatizo halafu naomba unisaidia sheria iansema nini kuhusu umri wa uongozi?
- Kwani wewe una uelewa upi huo ambao umetufanya tukawa na rais tuliyenaye sasa, wewe una uelewa mkubwa sana tilipataje huyu rais? Muwe mnafikiri kavbla ya kuandika hapa JF!
FMEs!
Ndugu Pretty,
Hata darasa la nne anafundishwa harakati za Tanganyika ya 1929 ilipoanza African Association, chimbuko la CCM, kwa kuwa inafahamika ili kuelewa na kuchambua contemporary events za 2009, unaweza kuhitaji kujua ya 1929.
Kama unadhani political dynamics za mwaka 1984 ni za zamani mno na zenye upeo wa kina mno, huenda jamvi la siasa za Tanzania halikufai. Hapa wanakuja watu wa kila aina, wakiwemo watu wazima waliokuwepo na kukumbuka ya mwaka 1984. Sio teen social network. Naelewa hukuwepo au ulikua hujapevuka wakati huo, au hutaki tu kupata headache kwa mambo ya 1984, vema kabisa.
Basi tuna mabaraza lukuki humu ambavyo hayahitaji sana kunyanyua vyuma vya mawazo na historia na kumbukumbu. Si lazima uende mbali sana kwa Michuzi au DarHotwire kupata utakayo jisikia uko nyumbani, hata hapa tuna maswala ya mahusiano, ususi, vichekesho, filamu, na agenda nyingine za burudani ambazo unaweza kujikita ukawa comfortable kama ulivyoonyesha mwongozo hapa.
- Mzalendohalisi kwa nini usiongelee jimbo laKo, ninakwambia hivi kwenye jimbo letu la Mtera, huyu mbunge akiondoka tu tumekwisha, sasa msituletee matatizo yenu ya siasa zenu huko Mbeya, sisi Dodoma hatuna matatizo halafu naomba unisaidia sheria iansema nini kuhusu umri wa uongozi?
- Kwani wewe una uelewa upi huo ambao umetufanya tukawa na rais tuliyenaye sasa, wewe una uelewa mkubwa sana tilipataje huyu rais? Muwe mnafikiri kavbla ya kuandika hapa JF!
FMEs!
Kweli kabisa swala la KINGUNGE kuwa bado mbunge inatia haibu na inawanyima vijana haki kabisa huyu jamaa anatakiwa alalembele .Kama aliwekwa kwa ajili ya kutishia vyama vya upinzani aambiwe vyama havina nguvu.Hata michango yake haina nguvu kabisa .Anatakiwa akaye nyumbani watu wale masaa ya kumtunza.
Pia mzee Malekela anatakiwa apumzike sasa inatosha kwani hana jipya kabisa bali ni kusifia ufisadi .Mtambo mwingine ni Pius Msekwa huu nao umechoka kwani hana jipya hao jamaa ndio wanalea uozo wa ccm.
Unataka Anne Kilango ayabebe hayo maendeleo kichwani ayapeleke? Ikiwa Fisadi Yona hakuweza ataweza Kilango ndani ya miaka 5 na kwa namna gani...Anna Kione Kilango Malecela-Same Mashariki. jimbo la Same Mashariki liko nyuma kuliko majimbo yote katika mkoa wa Kilimanjaro. Same Mashariki iko nyuma ktk elimu,afya,maji,mazingira,misitu,kilimo,barabara.