Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
Jamani someone said anaenda kupumzika amechoka kulumbana. Au maana ya kupumzika ni kutuma post zaidi sielewi? maana tulisha mruhusu na kumuaga aka pumzike salama ila tunaona post zake zina tiririka tu.
Mzee wewe kwani mgeni naye? Huwa anaaga kabisa JF na kutangaza atakuwa anaonekana kwenye TV, news bulletins na kwenye maradio baada ya siku mbili huyu anarudi, NO Tv and what not.....huyo ndiye mzee wa sauti....

