- Ubunge wa Malecela unakutatiza vipi mkuu ni muda sasa umeshupalia haya vipi amekuchukulia mkeo nini, maana hapa ni wewe na Bangusule kila kukicha mna tatizo na Mzee na mkewe huenda mna serious problem lisemeni tunaweza kuwasaidia maana sijawahi ona hii obsession, kama ni ubunge ni sisi wa jimbo lake ndio tunajua faida ya kuwepo kwake jimboni kwetu!
- Pension amekuwa akiila kwa muda mrefu sana sasa ndio maana siku zote yuko majuu, au huko majuu kuna bunge la Tanzania? Sasa hivi yuko njiani kwenda London na US, majuzi alikuwa Nairobi kushirki mkutano wa ma-chancellor wote wa EAC, si unajua ni Chancellor wa Open University kwa hiyo mkuu hiki kikorosho kitakukwama maana haendi kokote mkuu! Bwa! ha! ha!
- Ungekwua unawajali wananchi wa Mtera, basi usingekwua na chuki na huyu mzee, acha ubinafsi, halafu naomba tutajie mbunge anayefaa?
Unam lalamikia kwa kushabikia Malecela aondoke sasa mbona na wewe una shabikia abaki? Kama wote mna upande mano shabikia unamsema mwenzio wa nini? Acha kumsema mwenzio for the same thing u r doing. Malecela kakuomba umpigie debe?