FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Ushahidi upo kuwa watu wasiotahiriwa huwa na uwezo mkubwa darasani ukilinganksha na waliofanyiwa tohara,mfano ni Mimi mwenyewe kabla ya kufanyiwa tohara nilikuwa mzuri was hesabu darasani na kushika namba moja bila kwenda tuition,nilikuwa najifunza mwenyewe Ila baada yq kutahiri nikiwa darasa la saba nilipoingia form one nikapoteza uwezo was kumiliki hesabu,
Pia watoto waliozaliwa na wazazi walio bado kupata tohara hufanana copy right na wazazi wao,angalia makabila yasiotahitri yalivyo na IQ kubwa japo sitayataja,huu ni uchunguzi wangu,niiteMlokozi
Pia watoto waliozaliwa na wazazi walio bado kupata tohara hufanana copy right na wazazi wao,angalia makabila yasiotahitri yalivyo na IQ kubwa japo sitayataja,huu ni uchunguzi wangu,niiteMlokozi