Wasiotahiriwa huwa na akili nyingi na hufanana sana na watoto wao

Wasiotahiriwa huwa na akili nyingi na hufanana sana na watoto wao

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Ushahidi upo kuwa watu wasiotahiriwa huwa na uwezo mkubwa darasani ukilinganksha na waliofanyiwa tohara,mfano ni Mimi mwenyewe kabla ya kufanyiwa tohara nilikuwa mzuri was hesabu darasani na kushika namba moja bila kwenda tuition,nilikuwa najifunza mwenyewe Ila baada yq kutahiri nikiwa darasa la saba nilipoingia form one nikapoteza uwezo was kumiliki hesabu,
Pia watoto waliozaliwa na wazazi walio bado kupata tohara hufanana copy right na wazazi wao,angalia makabila yasiotahitri yalivyo na IQ kubwa japo sitayataja,huu ni uchunguzi wangu,niiteMlokozi
 
Mkuu kaondoe tu huo uchafu, kiroho safi. Kuna faida nyingi zaidi ukiwa umetahiriwa kulika ukiwa haujatahiriwa, haya ni mambo ya kisayansi zaidi. Haya mambo uliyoamua kutuletea leo ni ramli farijishi, usijifariji Mkuu.
 
Ushahidi upo kuwa watu wasiotahiriwa huwa na uwezo mkubwa darasani ukilinganksha na waliofanyiwa tohara,mfano ni Mimi mwenyewe kabla ya kufanyiwa tohara nilikuwa mzuri was hesabu darasani na kushika namba moja bila kwenda tuition,nilikuwa najifunza mwenyewe Ila baada yq kutahiri nikiwa darasa la saba nilipoingia form one nikapoteza uwezo was kumiliki hesabu,
Pia watoto waliozaliwa na wazazi walio bado kupata tohara hufanana copy right na wazazi wao,angalia makabila yasiotahitri yalivyo na IQ kubwa japo sitayataja,huu ni uchunguzi wangu,niiteMlokozi
Nope. IQ haina relation na tohara. Ila ina relationna genetics. Kama wazaz walikuwa bright naww utakuwa bright.. au mtoto wako.
Otherwise labda uwe unatumia kichwa cha dudu kufikiria , sidhan kama tohara in affect IQ.
 
Write your reply...ivi kufaulu primary unajiita ulikua kichwa sana ??? wapo ambao primary walikua hawajui kitu matokeo yao mabovu darasani ila walipofika sekondari wakaanza kujielewa wakawa wanafanya vyema ni ngum sana kujaji uwezo wa mtu akiwa shule ya msingi wew ulikua ujaishi uhalisia wako umeuanza baada ya kumalza elim ya msingi usisingizie govinda kukatwa
 
Back
Top Bottom