Wasiotaka kustaafu kwetu, ya Malkia UK wanayatamani hapa

Wasiotaka kustaafu kwetu, ya Malkia UK wanayatamani hapa

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Ama kwa hakika Kenya wamepiga hatua kubwa sana.

IMG_20220911_185812_650.jpg


Kwetu wastaafu hawataki kustaafu na wanalazimisha watoto kuja kutawala.

Nini tofauti yetu na Kenya?

Kupi kufanana kwetu na Uganda, Burundi au Rwanda?

Pole yetu Tanzania.
 
Yeye mwenyewe alifanya kulazimishwa na Hayati Daniel Arap Moi ili aingie kwenye siasa, lakini kinywaji kilikuwa kimemchukua sana.

Amemix blood, ni jambo zuri sana ili kuondoa uzezeta kwenye familia.

Raisi mstaafu na jirani yetu mpendwa Ndugu Uhuru Kenyatta anastahil pongezi kwa kuiheshimu na kuifuata Katiba ya Kenya.

Mungu amjaalie.
 
Aisee hapa kwetu hali ni tofauti.

Yaani hao watoto wa kishua badala ya kutumia fedha ambazo baba zao walitupiga na kufungua makampuni ili waajiri vijana wenzao.

Ndio kwanza wamejazana kwenye taasisi zote zenye neema.

Wengine wamekaba nafasi za kisiasa ili kulinda maslahi ya familia zao.

Kinachoendelea ni aina flani hivi ya ukoloni ndani yetu wenyewe.

Baada ya kuwaondoa wazungu tumebakia na hawa kupe.
 
Yeye mwenyewe alifanya kulazimishwa na Hayati Daniel Arap Moi ili aingie kwenye siasa lakini kinywaji kilikuwa kimemchukua sana.

Amemix blood ni jambo zuri sana ili kuondoa uzezeta kwenye familia.

Raisi mstaafu na jirani yetu mpendwa Ndugu Uhuru Kenyatta anastahil pongezi kwa kuiheshimu na kuifuata Katiba ya Kenya.

Mungu amjaalie.

Kwetu wakitutaka sisi kujiajiri wao hilo haliwahusu. Majina yale yale siyo BoT tu, bali hata bungeni, makatibu wakuu uwaziri Hadi urais.

"Oneni japo aibu kidogo basi? Au Hadi tujipange kupindua meza ndipo mzinduke? Haitakuwa mmechelewa mno?"
 
Aisee hapa kwetu hali ni tofauti.

Yaani hao watoto wa kishua badala ya kutumia fedha ambazo baba zao walitupiga na kufungua makampuni ili waajiri vijana wenzao.

Ndio kwanza wamejazana kwenye taasisi zote zenye neema.

Wengine wamekaba nafasi za kisiasa ili kulinda maslahi ya familia zao.

Kinachoendelea ni aina flani hivi ya ukoloni ndani yetu wenyewe.

Baada ya kuwaondoa wazungu tumebakia na hawa kupe.
Karibu CHADEMA, naona umesharudisha Ubongo wako kutoka kwenye Store ya Lumumba.

Nakumbuka tulikuwa wote CCM mimi nikahama ulinifikiri mjinga?
 
Aisee hapa kwetu hali ni tofauti.

Yaani hao watoto wa kishua badala ya kutumia fedha ambazo baba zao walitupiga na kufungua makampuni ili waajiri vijana wenzao.

Ndio kwanza wamejazana kwenye taasisi zote zenye neema.

Wengine wamekaba nafasi za kisiasa ili kulinda maslahi ya familia zao.

Kinachoendelea ni aina flani hivi ya ukoloni ndani yetu wenyewe.

Baada ya kuwaondoa wazungu tumebakia na hawa kupe.

Tuungane kuwakataa wahuni. Maendeleo hayana chama. Katiba mpya anaweza kuwa mkombozi wetu kutoka kwa wakoloni Hawa.

Kujimilikisha kwao nchi hii hakukubaliki.
 
Karibu CHADEMA, naona umesharudisha Ubongo wako kutoka kwenye Store ya Lumumba.

Nakumbuka tulikuwa wote CCM mimi nikahama ulifikiri mjinga?

Bwana Stroke hata akibaki aliko. Maendeleo hayana chama. Tuungane kuwakataa wahuni.

Katiba mpya ndiyo habari mjini.
 
Kwetu wakitutaka sisi kujiajiri wao hilo haliwahusu. Majina yale yale siyo BoT tu, bali hata bungeni, makatibu wakuu uwaziri Hadi urais.

"Oneni japo aibu kidogo basi? Au Hadi tujipange kupindua meza ndipo mzinduke? Haitakuwa mmechelewa mno?"
Hata hao walioajiriwa eti wasiongelee Tozo, sasa Job security ni kuiabudu CCM hata kama unaumia?.
 
Asante mkuu.

Bado nipo na lumumba yangu. Nakomaa nayo tu.

Zimwi likujualo.

Hatua njema, upinzani si ugomvi. Tunajenga nyumba moja. Kwenye maslahi ya taifa tuliite koleo kwa jina lake.

"Katiba mpya ni sasa."
 
Ajenda yetu kuu,Katiba Mpya! Katiba Mpya! ikishapatikana na ifuatwe,hii ya sasa yenyewe haifuatwi inavyotakiwa.

Katiba mpya inaweza kuwa enforced kufuatwa hata tokea mayakamani. Kwa tulipo leo kina Zumaridi wako ndani upelelezi haujakamilika. Unahoji wapi?
 
Kwetu pa ajabu kidogo, hawa wetu wanabebwa na baba zao tena wala sio kwa kuchaguliwa na wapiga kura, wanawaibia kura, wanaingia madarakani wanaanza kutuibia huku wengine wakiwaita hao wajinga "genious".

Kama wangekuwa "genious" kwanini wasianzishe biashara/kampuni zao, waajiri watanzania wengi wasiokuwa na kazi ili kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira lililokuzwa na baba zao?

Hawa "genious" wetu tayari wana mitaji, lakini ajabu badala ya kuwekeza hiyo mitaji yao iwaingizie faida, wao wanaendelea kuiba na kujilimbikizia mali, hawa ndio "role model" wa baadhi ya wajinga.
 
Back
Top Bottom