- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Kuhusu Kurithiana"Ama kwa hakika Kenya wamepiga hatua kubwa sana.
View attachment 2353770
Kwetu wastaafu hawataki kustaafu na wanalazimisha watoto kuja kutawala.
Nini tofauti yetu na Kenya?
Kupi kufanana kwetu na Uganda, Burundi au Rwanda?
Pole yetu Tanzania.
"Kuhusu Kurithiana"
Kwanini Kenya Mbona Kama Mfano Wako Kama Si Sahihi?
Uhuru Kenyatta Si Mtoto Jomo Kenyatta ?
Na Hata Raila Odinga Sio Mtoto wa Jaramogi Oginga Odinga ?
Au Mimi Ndio Nimekuelewa Vibaya?
Inawezekana Kenya Wametuzidi Sawa Lakini SinKatika Hili.
Kwetu pa ajabu kidogo, hawa wetu wanabebwa na baba zao tena wala sio kwa kuchaguliwa na wapiga kura, wanawaibia kura, wanaingia madarakani wanaanza kutuibia huku wengine wakiwaita hao wajinga "genious".
Kama wangekuwa "genious" kwanini wasianzishe biashara/kampuni zao, waajiri watanzania wengi wasiokuwa na kazi ili kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira lililokuzwa na baba zao?
Hawa "genious" wetu tayari wana mitaji, lakini ajabu badala ya kuwekeza hiyo mitaji yao iwaingizie faida, wao wanaendelea kuiba na kujilimbikizia mali, hawa ndio "role model" wa baadhi ya wajinga.