Hapo watachemka tu. Kwanza hakuna uhusiano wowote kati ya pete na ndoa, mtu anaweza kuwa anavaa pete na akafanya uzinzi akiwa na pete yake kidoleni. Mimi enzi hizo kabla sijampokea Yesu kwa kumaanisha niliwahi kufanya uzinzi na mwanamke akiwa amevaa pete, na wala alikuwa hashutuki. Yaani mpaka sasa unaniuma sana. Lakini namshukuru Mungu alinitoa katika shimo hilo la maangamizi.
Cha kufanya hilo kanisa liwafundishe vizuri watu kuhusu kuheshimu ndoa zao hata kama hawavai pete. Ila wokovu halisi ndani ya Yesu ndio suluhisho murua; hata mimi wakati huo nilikuwa Mkatiliki tena ex candidate for priesthood. Thank you my JESUS