Hatri sanaHabari Jr
Hoja ni fupi mno Simba sc wanasafiri kesho alfajiri na inaondoka na mashabiki 17, hawa mashabiki wanaenda kujilipia wenyewe kila kitu.
Serikali muwe seriously na hii kitu mnaingiza siasa kwenye mpira,mashabiki wengi wa mpira hususani mashabiki wa Simba wameumia kitendo cha kumpendelea mmoja.
Mwisho msipokuwa makini mpira kuupeleka kwenye siasa mnaenda kugawa mashabiki kupitia Serikali.
Fikra zangu huwa zinaona mbali kama nilivyoona mh Paul makonda kuwa raisi 2030.
Nitakuloga shauri yakoHuwa nakiona Una akili kumbe huku kwenye Mpira wote mnageuka hamnazo.
Dar to Johannesburg ni kilometers 5000 tu, NI kama kutoka Dar kwenda Kigoma na kurudi na Kilometres kadhaa tu.
Mkiongea vizuri na wenye mabasi watawapeleka Kwa reasonable price.
Sasa serikali itowe ndege kadhaa kuwafurahisha Simba kwenda Cairo? Unajuwa gharama yake?
Huu ni wivu wa kipuuzi Kijiografia tupo karibu na South Africa na tuna maingiliano.
Haya Wana Simba tuonesheni basi lipi linalokwenda Cairo tuwalipie nauli?
Na uzuri wake ni kwamba uchawi wa mwanamke ni limbwata tu.Nitakuloga shauri yako
AahaaaHii timu furaha yao hua inaishia Simba day baada ya hapo ni lawama, vilio na hekaheka
Wakati serikali inalipa pesa kwa "goli la mama" kwa kila mechi, mashabiki si mlifurahi timu zenu kukusanya hela. Hao wanafunzi hawakuwepo wakati huo?Ndio shida serikali kujiinga kwenye vitu vya kipuuzi,mnalipia mashabiki wakati kuna wanafunzi wanakaa chini,
Serikali inaingia gharama kulipa wenza wa wastaafu, watu kujiongezea maposho hovyo.
Hii nchi ni kama ina laana vile.
Timu inaenda kutolewa harafu mpewe ndege 😉😃Habari Jr
Hoja ni fupi mno Simba sc wanasafiri kesho alfajiri na inaondoka na mashabiki 17, hawa mashabiki wanaenda kujilipia wenyewe kila kitu.
Serikali muwe seriously na hii kitu mnaingiza siasa kwenye mpira,mashabiki wengi wa mpira hususani mashabiki wa Simba wameumia kitendo cha kumpendelea mmoja.
Mwisho msipokuwa makini mpira kuupeleka kwenye siasa mnaenda kugawa mashabiki kupitia Serikali.
Fikra zangu huwa zinaona mbali kama nilivyoona mh Paul makonda kuwa raisi 2030
MWombee adui yako mema na afya njema wala usitake bala liwe juu yake.MAMELOD watatulipia Tu
UBUNTU BOTHO
Yeah time will tell