Wasipokuwa makini kwa hili nchi itajigawa kimakundi

Wasipokuwa makini kwa hili nchi itajigawa kimakundi

Habari Jr

Hoja ni fupi mno Simba sc wanasafiri kesho alfajiri na inaondoka na mashabiki 17, hawa mashabiki wanaenda kujilipia wenyewe kila kitu.

Serikali muwe seriously na hii kitu mnaingiza siasa kwenye mpira,mashabiki wengi wa mpira hususani mashabiki wa Simba wameumia kitendo cha kumpendelea mmoja.

Mwisho msipokuwa makini mpira kuupeleka kwenye siasa mnaenda kugawa mashabiki kupitia Serikali.

Fikra zangu huwa zinaona mbali kama nilivyoona mh Paul makonda kuwa raisi 2030.
Hatri sana
 
Huwa nakiona Una akili kumbe huku kwenye Mpira wote mnageuka hamnazo.

Dar to Johannesburg ni kilometers 5000 tu, NI kama kutoka Dar kwenda Kigoma na kurudi na Kilometres kadhaa tu.

Mkiongea vizuri na wenye mabasi watawapeleka Kwa reasonable price.

Sasa serikali itowe ndege kadhaa kuwafurahisha Simba kwenda Cairo? Unajuwa gharama yake?

Huu ni wivu wa kipuuzi Kijiografia tupo karibu na South Africa na tuna maingiliano.

Haya Wana Simba tuonesheni basi lipi linalokwenda Cairo tuwalipie nauli?
Nitakuloga shauri yako
 
Mwanasimba chagua upinzani mwakani hawa nzi wa kijani achaneni nao.
 
Kumbe hili swala limeleta nongwa kiasi hii duuuuh
 
Ndio shida serikali kujiinga kwenye vitu vya kipuuzi,mnalipia mashabiki wakati kuna wanafunzi wanakaa chini,
Serikali inaingia gharama kulipa wenza wa wastaafu, watu kujiongezea maposho hovyo.
Hii nchi ni kama ina laana vile.
Wakati serikali inalipa pesa kwa "goli la mama" kwa kila mechi, mashabiki si mlifurahi timu zenu kukusanya hela. Hao wanafunzi hawakuwepo wakati huo?
 
Habari Jr

Hoja ni fupi mno Simba sc wanasafiri kesho alfajiri na inaondoka na mashabiki 17, hawa mashabiki wanaenda kujilipia wenyewe kila kitu.

Serikali muwe seriously na hii kitu mnaingiza siasa kwenye mpira,mashabiki wengi wa mpira hususani mashabiki wa Simba wameumia kitendo cha kumpendelea mmoja.

Mwisho msipokuwa makini mpira kuupeleka kwenye siasa mnaenda kugawa mashabiki kupitia Serikali.

Fikra zangu huwa zinaona mbali kama nilivyoona mh Paul makonda kuwa raisi 2030
Timu inaenda kutolewa harafu mpewe ndege 😉😃
 
Nyinyi ni miongoni mwa wendewazimu hapa Tanzania/Tanganyika,mnaodhani na kuamini kwamba Kila raia ni Simba na Yanga.

Watu tupo na Eagle Fc/Kinyamkela FC/Chupukizi Fc,
 
Back
Top Bottom