Pre GE2025 Wasira azijibu hoja za Mzee mwenzie Jaji Warioba kabla ya kujibiwa na Tundu Lissu

Pre GE2025 Wasira azijibu hoja za Mzee mwenzie Jaji Warioba kabla ya kujibiwa na Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Hellow!

1739517991953.jpeg
1739518006488.jpeg

Si vyema kupoteza muda kuomba mtanange na mjukuu wako TUNDU Lissu aliye upinzani ilhali ndani ya chama chake anaye Mzee mwenzie, hasimu wake tangu unajanani waliyewahi kugombea Jimbo la Bunda mjini Mzee Warioba.

Kikao Cha TUNDU Lissu na Mzee Warioba ni BUSARA za Mwenyekiti wa CHADEMA kukuarifu Mzee Wasira juu ya mtu sahihi wa kijibizana naye.

HOJA zifuatazo ambazo Mzee Warioba amekuwa akizitoa bila majibu ni kama ifuatavyo.

1. Inayojiita Tume huru ya Uchaguzi ni hadaa Kwa umma wa Watanzania, Haina uhalali kisheria,ni batili.

2. Matumizi ya Dola kuingilia chaguzi zetu, ni jambo lisilokubalika, linanyima HAKI ya wananchi kuchagua viongozi wawatakao.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

3. Nchi inahitaji Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya kabla ya Uchaguzi wa October 2025.

4. RUSHWA ndani ya chama tawala imeshamiri sana na Kwa Hali hiyo, mfumo wote wa Sheria unaoanzia kwenye Katiba mpya unatakiwa kufanyika Kwa haraka.

Kwa ufupi, jibu HOJA za Mzee Mwenzio, kamwe usitupotezee muda wajukuu zako kutuletea hadithi zisizoeleweka.

Shkamoo Babu/ Sokoro Wassira,

Ubarikiwe Judge Warioba,

Ubarikiwe TUNDU Antipas Lissu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
 
Yeye ni nani kusema ni " Lazima" uchaguzi ufanyike?

Anafaidika na nini kutaka uchaguzi wa maigizo kufanyika?

Si vyema kujivika umuhimu asiokuwa nao!

Mpuuzeni tu Wasira.

Wapo wazee wanaozeeka vizuri wakiwa na akili zao timamu, na wakiwa na hekima iliyoshiba. Wadira ni wale wazee wanaozeeka vibaya. Wale ambao wakizerka, wanakuwa ni kero hata kwa jamii zinazowazunguka. Msameheni kama mnavyowasamehe wale vichaa wanaokula majalalani.
 
Mpuuzeni tu Wasira.

Wapo wazee wanaozeeka vizuri wakiwa na akili zao timamu, na wakiwa na hekima iliyoshiba. Wadira ni wale wazee wanaozeeka vibaya. Wale ambao wakizerka, wanakuwa ni kero hata kwa jamii zinazowazunguka. Msameheni kama mnavyowasamehe wale vichaa wanaokula majalalani.
Saiz yake ni Mzee Warioba,

HOJA kati ya Babu na mjukuu haziwezi kuwa serious ,utani utatawala kwenye mambo ya msingi.
 
Hellow!!

Si vyema kupoteza muda kuomba mtanange na mjukuu wako TUNDU Lissu aliye upinzani ilhali ndani ya chama chake anaye Mzee mwenzie, hasimu wake tangu unajanani waliyewahi kugombea Jimbo la Bunda mjini Mzee Warioba.

Kikao Cha TUNDU Lissu na Mzee Warioba ni BUSARA za Mwenyekiti wa CHADEMA kukuarifu Mzee Wasira juu ya mtu sahihi wa kijibizana naye.

HOJA zifuatazo ambazo Mzee Warioba amekuwa akizitoa bila majibu ni kama ifuatavyo.

1. Inayojiita Tume huru ya Uchaguzi ni hadaa Kwa umma wa Watanzania, Haina uhalali kisheria,ni batili.

2. Matumizi ya Dola kuingilia chaguzi zetu, ni jambo lisilokubalika, linanyima HAKI ya wananchi kuchagua viongozi wawatakao.

3. Nchi inahitaji Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya kabla ya Uchaguzi wa October 2025.

4. RUSHWA ndani ya chama tawala imeshamiri sana na Kwa Hali hiyo, mfumo wote wa Sheria unaoanzia kwenye Katiba mpya unatakiwa kufanyika Kwa haraka.

Kwa ufupi, jibu HOJA za Mzee Mwenzio, kamwe usitupotezee muda wajukuu zako kutuletea hadithi zisizoeleweka.

Shkamoo Babu/ Sokoro Wassira,

Ubarikiwe Judge Warioba,

Ubarikiwe TUNDU Antipas Lissu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Hii Tume ya Uchaguzi ni huru na shahidi ni yeye Mzee Warioba na mwanae Kipi Warioba. Hii yote ni hasira tu ya ilichomfanyia yeye na mwanae Kipi Warioba!
 
Hii Tume ya Uchaguzi ni huru na shahidi ni yeye Mzee Warioba na mwanae Kipi Warioba. Hii yote ni hasira tu ya ilichomfanyia yeye na mwanae Kipi Warioba!
Kwamba uchaguzi umekuwa jambo la kifamilia kati ya Mzee Warioba na mwanae Kippi?

Jaribu kuwa serious kidogo, uchaguzi na HAKI zake ni jambo la kitaifa Si kifamilia.
 
Bila kupatikana Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya kabla ya Uchaguzi mkuu,

Uchaguzi mkuu utayeyuka.
 
Kwamba uchaguzi umekuwa jambo la kifamilia kati ya Mzee Warioba na mwanae Kippi?

Jaribu kuwa serious kidogo, uchaguzi na HAKI zake ni jambo la kitaifa Si kifamilia.
Kama hoja huijui usiikimbilie dogo.
 
lissu anajichosha tu arudi tu kwa mumu amemmis uberigiji hakuan refom wala nini ccm bado ipo sanaaaaa
Nyuma ya Lissu Kuna mamilioni ya Watanzania ndani ya CCM akiwemo Judge Warioba na Mzee Kikwete walioshuriki kuanzisha mchakato wa Katiba mpya 2014, upinzani, makundi mbalimbali nk nk.

Sasa ukidhani hayo ni matakwa binafsi ya Lissu, unakosea sana.
 
Hivi kati ya Joe Biden na Mzee Wasira nani mkubwa!
 
Back
Top Bottom