Pre GE2025 Wasira: Hatukatai mazungumzo, lakini hatuwezi kuamrishwa, asisitiza sera ya Samia ya 4R

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema watakuwa wajinga iwapo wataamua kufurahia matunda ya maridhiano eti kwa sababu walifutiwa kesi wakati kesi zenyewe zilikuwa za kubumba
 
Sidhani kama wasira anajitambua kuwa yeye sio msemaji au afisa yeyote wa serikali bali ni m/mwenyekiti wa ccm.
 
Kwa uyu mzee bado ataka maneno , kombora la leo halijamuingia ,vizuri, mda wa siasa kwa uyu mzee hauko upande wake, anafikili akishafungw rubega basi anaona bado ni Dam mpya ya kushindana na Dam mpya.

Mzee wasira kaa kimia
 
Naona wanaanza kulegeza misimamo. Watakubaliana tu kufanya reform kama ambavyo ipo kwenye 4R
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…