Hapo kuna tatazo kibwa, kuna kitu kinamsumbua kichwani ambacho kimempotezea uwezo wake halisi wa kufikiri. Na kibaya zaidi ni kwamba hiyo frustration imemzidi uwezo na ameshindwa kuidhibiti. Chance kubwa ni kuhusu jimbo lake la bunda, anajua hawezi tena kurudi mjengoni. Ni shiiiiiidah