Wasira anasema sheria za uchaguzi ni matokeo ya maridhiano, ambapo wananchi wote wakiwemo CHADEMA walishirikishwa kutoa maoni kabla ya miswada kupelekwa bungeni na baadaye kupitishwa baada ya kupitiwa kuwa sheria.
Wasira anaongeza CHADEMA kushupaza shingo wakati mabadiliko yameshafanyika sio demokrasia ni udikteta, maana wanagomea jambo ambalo watanzania wote walishiriki kutoa maoni na likapitishwa.
Wasira anasema sheria za uchaguzi ni matokeo ya maridhiano, ambapo wananchi wote wakiwemo CHADEMA walishirikishwa kutoa maoni kabla ya miswada kupelekwa bungeni na baadaye kupitishwa baada ya kupitiwa kuwa sheria.
Wasira anaongeza CHADEMA kushupaza shingo wakati mabadiliko yameshafanyika sio demokrasia ni udikteta, maana wanagomea jambo ambalo watanzania wote walishiriki kutoa maoni na likapitishwa.
Yaani watu wenye akili timamu wanasikiliza maneno ya Kikongwe wa miaka zaidi ya 80?? Mzee yule kumbukumbu zake zimeshakuwa za mashaka. Nasikia wakati mwingine akifika kwenye eneo la mkutano, huwauliza wasaidizi wake "Nini hasa mnataka niwaambie hawa wananchi wanaotusikiliza".
Huyu Mzee anakwenda kukata moto muda si mrefu. Na lawama wahusika waliompandisha majukwaani Mzee wa miaka zaidi ya 80 wasijezikimbia.
Wasira anasema sheria za uchaguzi ni matokeo ya maridhiano, ambapo wananchi wote wakiwemo CHADEMA walishirikishwa kutoa maoni kabla ya miswada kupelekwa bungeni na baadaye kupitishwa baada ya kupitiwa kuwa sheria.
Wasira anaongeza CHADEMA kushupaza shingo wakati mabadiliko yameshafanyika sio demokrasia ni udikteta, maana wanagomea jambo ambalo watanzania wote walishiriki kutoa maoni na likapitishwa.
Kuwa Dikteta? Mtu hana jeshi, hana polisi atakuwaje dikteta? Wasira anajua maana ya udikteta ni nini? CCM kugomea kukubali mabadiriko ni dalili ya udikteta maana ndiyo inashikilia kila kitu kwa sasa na kutumia Madaraka vibaya.
Wasira ni mmoja wa wazee waliolifikisha hili Taifa hapa tulipo sasa tusitegemee awe na mchango mpya wao wanasema wanakubalika lakini hawataki uchaguzi ulio huru na wa haki unatunga sheria lakini unaendelea kuengua wagombea wa upinzani ni nini wanaogopa uchaguzi huru ili wakishinda kusiwe na malalamiko?
Wamuulize Wasira mbona pamoja na hayo mabadiliko anayosema yamefanywa, Kwa nini kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwezi wa Novemba mwaka jana zaidi ya asilimia 70 ya wagombea wa CHADEMA walikatwa?
Kama vipi wamwambie kabisa aache kuongea upuuzi. Watanzania tuna akili na tunajitambua. Asione tupo kimya akadhani sisi ni wapuuzi kama wanavyotudhania
Wasira anasema sheria za uchaguzi ni matokeo ya maridhiano, ambapo wananchi wote wakiwemo CHADEMA walishirikishwa kutoa maoni kabla ya miswada kupelekwa bungeni na baadaye kupitishwa baada ya kupitiwa kuwa sheria.
Wasira anaongeza CHADEMA kushupaza shingo wakati mabadiliko yameshafanyika sio demokrasia ni udikteta, maana wanagomea jambo ambalo watanzania wote walishiriki kutoa maoni na likapitishwa.
Hakika Wasiri uzee umemwingia mpaka akilini. Amepoteza kumbukumbu, na akili yake naona inafanya kazi kwa kiwango cha chini sana.
Hajui wala hakumbuki kuwa maoni ya watu wote waliyoyatoa kuhusiana na mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, yalitupwa.
Bunge bandia la CCM lilipuuza maoni ya vyama vya siasa, maoni ya taasisi za dini, na maoni ya asasi zote za kiraia, mtu mmoja mmoja, na wadau mbalimbali. Mwisho wakaamua kuupitisha mswada kama ulivyoandaliwa na makada wa CCM na kupelekwa Bungeni na serikali.
Wasira, kama akili ingekuwa inafanya kazi, angepitia maoni ya wananchi, halafu aangalie sheria hiyo ya kipuuzi ya uchaguzi jinsi ilivyo, ndiyo atoe maoni yake.
Wamuulize Wasira mbona pamoja na hayo mabadiliko anayosema yamefanywa, Kwa nini kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwezi wa Novemba mwaka jana zaidi ya asilimia 70 ya wagombea wa CHADEMA walikatwa?
Kama vipi wamwambie kabisa aache kuongea upuuzi. Watanzania tuna akili na tunajitambua. Asione tupo kimya akadhani sisi ni wapuuzi kama wanavyotudhania
Kama sheria za uchaguzi zilibadilishwa na kupitishwa bunge mbona tume huru ya uchaguzi haikusimamia uchaguzi wa sekondari za mitaa licha ya kwenda mahakamani kupinga Tamisemi kusimamia.na hata sheria zingine hazikufuatwa kabisa
Kama sheria za uchaguzi zilibadilishwa na kupitishwa bunge mbona tume huru ya uchaguzi haikusimamia uchaguzi wa sekondari za mitaa licha ya kwenda mahakamani kupinga Tamisemi kusimamia.na hata sheria zingine hazikufuatwa kabisa
Wasira anasema sheria za uchaguzi ni matokeo ya maridhiano, ambapo wananchi wote wakiwemo CHADEMA walishirikishwa kutoa maoni kabla ya miswada kupelekwa bungeni na baadaye kupitishwa baada ya kupitiwa kuwa sheria.
Wasira anaongeza CHADEMA kushupaza shingo wakati mabadiliko yameshafanyika sio demokrasia ni udikteta, maana wanagomea jambo ambalo watanzania wote walishiriki kutoa maoni na likapitishwa.