Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Yeye mwenyewe anaujua ukweli ni ushetani tu unamsumbuaCCM wanatuona wananchi wa hii nchi ni mazuzu sana yaaani kama hatuna akili ya kuchambua mambo.
Kwa ule upuuzi uliofanyika juzi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa hakupaswa hata kuzungumza hayo maneno huyo mzee mjinga Wassira