Pre GE2025 Wasira: Mabadiliko yalishafanywa na sheria za uchaguzi zilipatikana, kulazimisha viwepo wanavyotaka wao ni Udikteta wa Kidemokrasia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CCM wanatuona wananchi wa hii nchi ni mazuzu sana yaaani kama hatuna akili ya kuchambua mambo.

Kwa ule upuuzi uliofanyika juzi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa hakupaswa hata kuzungumza hayo maneno huyo mzee mjinga Wassira
Yeye mwenyewe anaujua ukweli ni ushetani tu unamsumbua
 
Kichwani ubongo umezeeka hadi umeoza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…