Pre GE2025 Wasira mbona hana utulivu wa akili? Ni kama amedata hivi na kauli ya "No Reform, No Election".

Pre GE2025 Wasira mbona hana utulivu wa akili? Ni kama amedata hivi na kauli ya "No Reform, No Election".

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Aramun

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
461
Reaction score
2,213
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amesema kauli mbiu ya "No Reform, No Election" haina maana yoyote kwa sasa, akisisitiza kuwa muda wa kufanya mabadiliko ya kisheria umekwisha kutokana na uchaguzi mkuu kukaribia.

Soma, Pia: Lissu amjibu Wasira kuhusu Katiba Mpya, asema Uchaguzi Mkuu usogezwe mbele kupata Katibu Mpya, na tutazuia uchaguzi kwa maandamano

Akizungumza Januari 23, 2025, jijini Dodoma, Wasira ameeleza kuwa badala ya kushikilia kauli hiyo, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanapaswa kushiriki uchaguzi na kuhakikisha wanakubaliana na maridhiano yaliyopo.

Ameongeza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, unaotarajiwa kuchagua Rais, Wabunge, na Madiwani, unapaswa kuwa nafasi ya vyama vyote kushindana kwa hoja badala ya kutafuta visingizio. Wasira amewataka viongozi wa CHADEMA kutumia nafasi za mazungumzo zilizopo badala ya kusimamia misimamo isiyotekelezeka kwa wakati huu.

 
Anasema bunge linavunjwa June hakuna wa kufanya reform, kwamba bunge tu linafanya reform.

Hebu walio karibu wamkumbushe huyu mzee wetu kwamba kama kuna "Urgent Matter" inayohusu mustakabali wa taifa basi bunge linaitwa muda wowote kwenda kupitisha muswada.
 
Yaani huyu wasipomweka sawa ataiangusha CCM.Bado ajajua siasa za sasa zipo digital yaani ana deal na vijana wa GenZ ambao wakiungana na GenX ni 50% ya wapiga kura na watu also active kwenye siasa ikiwemo mitandao.Asichokijua siasa za majukwaani zinaanza kuisha kabisa .Asipokaa sawa atajikuta anashangiliwa na TBC like huku vijana wako busy kidigital.Yaani Raisi Samia ,ukishamaliza uchqguzi tafuta mtu ana vibe la vijana hii itakuangusha aisee
 
Yaani huyu wasipomweka sawa ataiangusha CCM.Bado ajajua siasa za sasa zipo digital yaani ana deal na vijana wa GenZ ambao wakiungana na GenX ni 50% ya wapiga kura na watu also active kwenye siasa ikiwemo mitandao.Asichokijua siasa za majukwaani zinaanza kuisha kabisa .Asipokaa sawa atajikuta anashangiliwa na TBC like huku vijana wako busy kidigital.Yaani Raisi Samia ,ukishamaliza uchqguzi tafuta mtu ana vibe la vijana hii itakuangusha aisee
Hehe mnataka siasa za kisasa......watu wanaenda old school kwanza angalia tu code ya hilo vazi ndo mjue uelekeo wa October uko vipi,,,,mapambano yalikua ndani ya Ccm huku nje sijui upinzani kukamilisha katiba tu ...hata wakisema no election ndo itasaidia kabisa maana iwe Samia kapata 100% na maisha yanaendelea
 
Uchawi wa CCM ni Katiba iliyopo.

Ni bahati mbaya tu wapinzani walichelewa kuligundua hili. Ukisema kuwe na Katiba Mpya kwa CCM ni sawa na kumminya mwanaume ke***de.

Nguvu ya CCM na wanasiasa wao uchwara itafikia tamati only pale nchi yetu itakapopata Katiba Mpya.

The day Tanzania imepata Katiba Mpya ndo siku tutaona maendeleo ya kweli nchini Tanzania.
 
Uchaguzi hautaahirishwa, take my words. Bunge lina miezi chini ya minne, linavunjwa.

Get ready for election, acheni maneno ya upuuzi, sasa jifanyeni mnazuia uchaguzi, mtaujua moto wa dola
 
Hehe mnataka siasa za kisasa......watu wanaenda old school kwanza angalia tu code ya hilo vazi ndo mjue uelekeo wa October uko vipi,,,,mapambano yalikua ndani ya Ccm huku nje sijui upinzani kukamilisha katiba tu ...hata wakisema no election ndo itasaidia kabisa maana iwe Samia kapata 100% na maisha yanaendelea
Wapimzani sidhani this time watafika mbali sana maana Lissu anatakiwa ajipange kwani bado sana ingawa hata wana CCM wanataka mabadiliko but after election duu mambo yatabadilika sana Mama akae karibu na vidonge vya pressure kwani Wasira type will be outdated
 
Yaani huyu wasipomweka sawa ataiangusha CCM.Bado ajajua siasa za sasa zipo digital yaani ana deal na vijana wa GenZ ambao wakiungana na GenX ni 50% ya wapiga kura na watu also active kwenye siasa ikiwemo mitandao.Asichokijua siasa za majukwaani zinaanza kuisha kabisa .Asipokaa sawa atajikuta anashangiliwa na TBC like huku vijana wako busy kidigital.Yaani Raisi Samia ,ukishamaliza uchqguzi tafuta mtu ana vibe la vijana hii itakuangusha aisee
Hapo wa kuwategemea ni Gen Mwinyi na siyo Gen Z. Gen Z wa Tanzania wamedumazwa kifikra. Wao wanawaza mziki. Gen Z si ndio hao walikuwa wanasombwa na walimu wao kwenda kupiga kura
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amesema kauli mbiu ya "No Reform, No Election" haina maana yoyote kwa sasa, akisisitiza kuwa muda wa kufanya mabadiliko ya kisheria umekwisha kutokana na uchaguzi mkuu kukaribia.

Akizungumza Januari 23, 2025, jijini Dodoma, Wasira ameeleza kuwa badala ya kushikilia kauli hiyo, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanapaswa kushiriki uchaguzi na kuhakikisha wanakubaliana na maridhiano yaliyopo.

Ameongeza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, unaotarajiwa kuchagua Rais, Wabunge, na Madiwani, unapaswa kuwa nafasi ya vyama vyote kushindana kwa hoja badala ya kutafuta visingizio. Wasira amewataka viongozi wa CHADEMA kutumia nafasi za mazungumzo zilizopo badala ya kusimamia misimamo isiyotekelezeka kwa wakati huu.

Kiongozi kikongwe kama huyu ni lazima tu ajizime "data" ili aweze kujibu hoja kinzani. Huu ni mvinyo wa zamani katika kiriba kipya.
 
Yaani huyu wasipomweka sawa ataiangusha CCM.Bado ajajua siasa za sasa zipo digital yaani ana deal na vijana wa GenZ ambao wakiungana na GenX ni 50% ya wapiga kura na watu also active kwenye siasa ikiwemo mitandao.Asichokijua siasa za majukwaani zinaanza kuisha kabisa .Asipokaa sawa atajikuta anashangiliwa na TBC like huku vijana wako busy kidigital.Yaani Raisi Samia ,ukishamaliza uchqguzi tafuta mtu ana vibe la vijana hii itakuangusha aisee
Gen Z bongo😀😀 hapo kwa wakenya labda....hii gen Z ya bongo ikitokea trending tu ya mondi huko insta na youtube baadae wakaingia simba na yanga kazi kwisha ushawatoa nje ya reli ......wengi hawana focus wanarubunika kirahisi sana
 
Hakuna kikakao chochote cha bunge mwaka huu kabla ya uchaguzi?
Haiwezekani kuitisha kikao cha bunge nje ya vikao vya kawaida vilivyozoeleka au kupangwa?
 
Gen Z bongo😀😀 hapo kwa wakenya labda....hii gen Z ya bongo ikitokea trending tu ya mondi huko insta na youtube baadae wakaingia simba na yanga kazi kwisha ushawatoa nje ya reli ......wengi hawana focus wanarubunika kirahisi sana
Gen Z ya bongo watafunguka baada ya uchaguzi kwani wazee kwenye uchaguzi wa mwaka huu watawapiga chini kwa sababu watakuwa na hoja but hawana cha kuuonga/rushwa ya kushinda "wajumbe" so they will be left out hapo ndio kimbembe kitaanza
 
Aaaaaah komredi Malugu huyoooo🤣🤣🤣🤣

Mbona wewooooooooo kwa kulala hajambo huyo
 
Back
Top Bottom