Pre GE2025 Wasira mbona hana utulivu wa akili? Ni kama amedata hivi na kauli ya "No Reform, No Election".

Pre GE2025 Wasira mbona hana utulivu wa akili? Ni kama amedata hivi na kauli ya "No Reform, No Election".

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amesema kauli mbiu ya "No Reform, No Election" haina maana yoyote kwa sasa, akisisitiza kuwa muda wa kufanya mabadiliko ya kisheria umekwisha kutokana na uchaguzi mkuu kukaribia.

Soma, Pia: Lissu amjibu Wasira kuhusu Katiba Mpya, asema Uchaguzi Mkuu usogezwe mbele kupata Katibu Mpya, na tutazuia uchaguzi kwa maandamano

Akizungumza Januari 23, 2025, jijini Dodoma, Wasira ameeleza kuwa badala ya kushikilia kauli hiyo, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanapaswa kushiriki uchaguzi na kuhakikisha wanakubaliana na maridhiano yaliyopo.

Ameongeza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, unaotarajiwa kuchagua Rais, Wabunge, na Madiwani, unapaswa kuwa nafasi ya vyama vyote kushindana kwa hoja badala ya kutafuta visingizio. Wasira amewataka viongozi wa CHADEMA kutumia nafasi za mazungumzo zilizopo badala ya kusimamia misimamo isiyotekelezeka kwa wakati huu.


Miaka 80 si haba....inaaminika ni kijana zaidi kuliko miaka 68 huku kwenye chama chetu
 
Wamempa majukumu mazito ya kupambana na kijana Heche wakati yeye umri umemtupa, hatamudu mikikimikiki ataomba kustaafu kabla ya miaka mitatu.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amesema kauli mbiu ya "No Reform, No Election" haina maana yoyote kwa sasa, akisisitiza kuwa muda wa kufanya mabadiliko ya kisheria umekwisha kutokana na uchaguzi mkuu kukaribia.

Soma, Pia: Lissu amjibu Wasira kuhusu Katiba Mpya, asema Uchaguzi Mkuu usogezwe mbele kupata Katibu Mpya, na tutazuia uchaguzi kwa maandamano

Akizungumza Januari 23, 2025, jijini Dodoma, Wasira ameeleza kuwa badala ya kushikilia kauli hiyo, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanapaswa kushiriki uchaguzi na kuhakikisha wanakubaliana na maridhiano yaliyopo.

Ameongeza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, unaotarajiwa kuchagua Rais, Wabunge, na Madiwani, unapaswa kuwa nafasi ya vyama vyote kushindana kwa hoja badala ya kutafuta visingizio. Wasira amewataka viongozi wa CHADEMA kutumia nafasi za mazungumzo zilizopo badala ya kusimamia misimamo isiyotekelezeka kwa wakati huu.

Duh... tunawatakia mapambano mema huko majukwaani.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amesema kauli mbiu ya "No Reform, No Election" haina maana yoyote kwa sasa, akisisitiza kuwa muda wa kufanya mabadiliko ya kisheria umekwisha kutokana na uchaguzi mkuu kukaribia.

Soma, Pia: Lissu amjibu Wasira kuhusu Katiba Mpya, asema Uchaguzi Mkuu usogezwe mbele kupata Katibu Mpya, na tutazuia uchaguzi kwa maandamano

Akizungumza Januari 23, 2025, jijini Dodoma, Wasira ameeleza kuwa badala ya kushikilia kauli hiyo, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanapaswa kushiriki uchaguzi na kuhakikisha wanakubaliana na maridhiano yaliyopo.

Ameongeza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, unaotarajiwa kuchagua Rais, Wabunge, na Madiwani, unapaswa kuwa nafasi ya vyama vyote kushindana kwa hoja badala ya kutafuta visingizio. Wasira amewataka viongozi wa CHADEMA kutumia nafasi za mazungumzo zilizopo badala ya kusimamia misimamo isiyotekelezeka kwa wakati huu.

Stori zile zile za Kinana
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amesema kauli mbiu ya "No Reform, No Election" haina maana yoyote kwa sasa, akisisitiza kuwa muda wa kufanya mabadiliko ya kisheria umekwisha kutokana na uchaguzi mkuu kukaribia.

Soma, Pia: Lissu amjibu Wasira kuhusu Katiba Mpya, asema Uchaguzi Mkuu usogezwe mbele kupata Katibu Mpya, na tutazuia uchaguzi kwa maandamano

Akizungumza Januari 23, 2025, jijini Dodoma, Wasira ameeleza kuwa badala ya kushikilia kauli hiyo, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanapaswa kushiriki uchaguzi na kuhakikisha wanakubaliana na maridhiano yaliyopo.

Ameongeza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, unaotarajiwa kuchagua Rais, Wabunge, na Madiwani, unapaswa kuwa nafasi ya vyama vyote kushindana kwa hoja badala ya kutafuta visingizio. Wasira amewataka viongozi wa CHADEMA kutumia nafasi za mazungumzo zilizopo badala ya kusimamia misimamo isiyotekelezeka kwa wakati huu.

Honestly mzee angepumzika...

Kipindi nipo secondary nakumbuka niliwahi kusoma sehemu kwamba kuna umri ukifika (nadhani kuanzia 85) mtu unaanza ku'suffer natural disease inayoitwa "mental retardation"... yaani akili inarudi nyuma ikiwemo kua kama mtoto mdogo na kupoteza kumbukumbu.

Kwa umri wa huyu mzee nadhani bado, ila anaelekea huko, so wamuwahi, kuna siku ataongea jambo ambalo hamtaamini hakika..
 
Dunia ya kisasa inataka watu wenye mawazo mapya waendeshe serikali kupitia wataalamu sio kuokota okota watu mitaani walio jichokea kizazi cha 1800
 
Back
Top Bottom