Wasira, Nape waongoza kongamano la vijana kujadili Rasimu ya Katiba Mwanza

Wasira, Nape waongoza kongamano la vijana kujadili Rasimu ya Katiba Mwanza

Nape Nnauye -- alipata Div 0 - Form IV(FOUR) (alirudia mara 2 na bado hakuweza kupata hata C moja)

Pamoja na kufeli kwake CCM ikampeleka CHUO cha SIASA KIVUKONI -- akadisco
Pamoja na hivyo wakampeleka VYUO VYA ELIMU YA BURE INDIA

Mbowe --- alipata Div 0 Form VI(SIX)
(Sio kwa Ujinga sababu ya lifestyle partying)
Ana Investment; Well established... hakuchota pesa serikalini kujifaidisha kama watoto wa wakubwa ndani ya NCHI HII...

c.cally linje
Gwalihenzi
Kwa hiyo Div 0 ya mbowe ni afadhari ya Div 0 za wale wanaopata siyo kwa sababu ya lifestyle partying.

Hii LIFESTYLE PARTYING ndiyo nini mpaka ina uafadhari na Div 0 zingine.

Kweli ukipenda unaona kengeza mpaka unakuwa radhi kudharirika kwa ajiri ya kukopa fikra na mawazo ya mtu mwenye Div 0 ya lifestyle partying.
 
Hapana Wanafanya Mikutano hiyo NJE PIA; Especially wajumbe wa MIKUTANO YA WAZAZI angalia picha na wanafurahi haswa...






- Mkutano wa hadhara wa Mwenyekiti wa Wazazi/CCM Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mheshimiwa Bulembo leo umevunja record zote
Wewe naona unatumia akili za Div 0 ya lifestyle partying!

Toka lini kongamano likawa ni mkutano wa hadhara?.

Kwa fikra na mawazo haya, Bora hata hiyo Div 0 ambayo siyo ya lifestyle partying.
 
Kwa hiyo Div 0 ya mbowe ni afadhari ya Div 0 za wale wanaopata siyo kwa sababu ya lifestyle partying.

Hii LIFESTYLE PARTYING ndiyo nini mpaka ina uafadhari na Div 0 zingine.

Kweli ukipenda unaona kengeza mpaka unakuwa radhi kudharirika kwa ajiri ya kukopa fikra na mawazo ya mtu mwenye Div 0 ya lifestyle partying.


Ya Nape ni ya Form Four; Ya MBOWE ni ya Form Six... Na Unajua enzi za MBOWE --- Form Six una D moja...unapata kazi NZURI safi serikalini na unapata CHUO

Angalia ni tofauti hizo DIV O form four and form six; measure ipi ni nzito? na nani kabebwa ingekuwa mtoto wa mwingine hapo la ndio hao waliochukuliwa majina na kina MWINGULU na KIGANGWALLA
 
Wewe naona unatumia akili za Div 0 ya lifestyle partying!

Toka lini kongamano likawa ni mkutano wa hadhara?.

Kwa fikra na mawazo haya, Bora hata hiyo Div 0 ambayo siyo ya lifestyle partying.

Hapo sasa ni kumuuliza Mh. William Malecela... Ameshatembelea Mikoa 18 wilaya 88 as a 1st class delegate wakati wafanyakazi serikalini hawana mishahara...
 
semina ya kulishwa maneno.

'Tutaangalia uzito wa hoja na sio wingi wa watoa hoja' by By Jaji Warioba.
 
Hivi elimu ya Mbowe ni ipi vile?

speech za mbowe ni nzuri sana mara x 1000 ukilinganisha na za dt dr dr dr dr dr dt dt dt dr dr dr kikwete kama utaweka pembeni mahaba ya uchama..
 
Nna uhakika hilo hatujawahi kusema. Kwanza hata neno lenyewe hilo hatulijuwi maana yake.

unajitoa fahamu nape alisema mawazo ya serikali tatu ni ya wazee wanao subiri kufa, je sokwe huwa anakufa akiwa na miaka mingapi?..
 
Napita tu sina la kuchangia

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Majadiliano na mikutano ya hadhara ni vitu tofauti.

Kujadili rasimu ya katiba ni tofauti na kufanya mikutano ya hadhara.

CCM hatujadili rasimu ya katiba kama mikutano ya hadhara. This is two way communication.

Huu ndiyo utaratibu tuliojiwekea na ni utaratibu unakubalika katika majadiliano yoyote.
Mkuu, unawadhifa gani ndani ya CCM?
 
unajitoa fahamu nape alisema mawazo ya serikali tatu ni ya wazee wanao subiri kufa, je sokwe huwa anakufa akiwa na miaka mingapi?..

Kwani wewe husubiri kufa? hivi unasubiri nini hapa duniani? Unanshangaza!
 
speech za mbowe ni nzuri sana mara x 1000 ukilinganisha na za dt dr dr dr dr dr dt dt dt dr dr dr kikwete kama utaweka pembeni mahaba ya uchama..

Nzuri sana tena sana ndio maana alipogombea dhidi ya Kikwete 2005 watu wakamkubali sana kwa hotuba zake na wakamchaguwa Kikwete kwa kishindo. Si ndio?

Sasa rudi kwenye swali, hivi Mbowe elimu yake ni ipi?
 
Back
Top Bottom