Wassira amesema wanaoesema hakuna kilichofanyika kwa miaka 60 ya uhuru wanatakiwa kusamehewa kwani hawajui walisemalo.
Amesema zamani kulikuwa na barabara tatu pekee Dar -Moro, tanga korogwe, na moshi kwenda arusha na sababu zilikuwa zinaendelea kwenye mashamba ya biashara, elimu ilikuwa 1 mpaka 4, kulikuwa na wandisi 2 pekee, madaktari 12 walioazimwa kutoka nje, hakukua na umeme bali kuliwa na mtambo wa kusupplu umeme kwa watoto wa kishua oysterbay, upanga huku waswahili wakiwa maeneo ya karioakoo, ilala kwenye giza totoro
Leo nchi imeendelea, umeme bwerere na maendeleo kedede, sasa hao wanaonanga hakuna walichofanya na hawataki kujifunza wanatakiwa kusamehewa maana hawajui lolote.
Na ndio maana wataendelea kushika dola/madaraka sababu wana jukumu ka kuifanya tanzania iwe bora.
Wassira amesema wanaoesema hakuna kilichofanyika kwa miaka 60 ya uhuru wanatakiwa kusamehewa kwani hawajui walisemalo.
Amesema zamani kulikuwa na barabara tatu pekee Dar -Moro, tanga korogwe, na moshi kwenda arusha na sababu zilikuwa zinaendelea kwenye mashamba ya biashara, elimu ilikuwa 1 mpaka 4, kulikuwa na wandisi 2 pekee, madaktari 12 walioazimwa kutoka nje, hakukua na umeme bali kuliwa na mtambo wa kusupplu umeme kwa watoto wa kishua oysterbay, upanga huku waswahili wakiwa maeneo ya karioakoo, ilala kwenye giza totoro
Leo nchi imeendelea, umeme bwerere na maendeleo kedede, sasa hao wanaonanga hakuna walichofanya na hawataki kujifunza wanatakiwa kusamehewa maana hawajui lolote.
Na ndio maana wataendelea kushika dola/madaraka sababu wana jukumu ka kuifanya tanzania iwe bora.
Wassira amesema wanaoesema hakuna kilichofanyika kwa miaka 60 ya uhuru wanatakiwa kusamehewa kwani hawajui walisemalo.
Amesema zamani kulikuwa na barabara tatu pekee Dar -Moro, tanga korogwe, na moshi kwenda arusha na sababu zilikuwa zinaendelea kwenye mashamba ya biashara, elimu ilikuwa 1 mpaka 4, kulikuwa na wandisi 2 pekee, madaktari 12 walioazimwa kutoka nje, hakukua na umeme bali kuliwa na mtambo wa kusupplu umeme kwa watoto wa kishua oysterbay, upanga huku waswahili wakiwa maeneo ya karioakoo, ilala kwenye giza totoro
Leo nchi imeendelea, umeme bwerere na maendeleo kedede, sasa hao wanaonanga hakuna walichofanya na hawataki kujifunza wanatakiwa kusamehewa maana hawajui lolote.
Na ndio maana wataendelea kushika dola/madaraka sababu wana jukumu ka kuifanya tanzania iwe bora.
Wassira amesema wanaoesema hakuna kilichofanyika kwa miaka 60 ya uhuru wanatakiwa kusamehewa kwani hawajui walisemalo.
Amesema zamani kulikuwa na barabara tatu pekee Dar -Moro, tanga korogwe, na moshi kwenda arusha na sababu zilikuwa zinaendelea kwenye mashamba ya biashara, elimu ilikuwa 1 mpaka 4, kulikuwa na wandisi 2 pekee, madaktari 12 walioazimwa kutoka nje, hakukua na umeme bali kuliwa na mtambo wa kusupplu umeme kwa watoto wa kishua oysterbay, upanga huku waswahili wakiwa maeneo ya karioakoo, ilala kwenye giza totoro
Leo nchi imeendelea, umeme bwerere na maendeleo kedede, sasa hao wanaonanga hakuna walichofanya na hawataki kujifunza wanatakiwa kusamehewa maana hawajui lolote.
Na ndio maana wataendelea kushika dola/madaraka sababu wana jukumu ka kuifanya tanzania iwe bora.
Kila wakiulizwa wamefanya nini katika miaka yao 60 ya kuwa madarakani! Wanakimbilia kutaja barabara na madaraja ilhali sekta kama elimu na afya vipo hoi bin taabani. Uchumi nao unapumulia mashine bila ya benki ya dunia sa ivtungekuwa hoi bin taaban
Hata hizo barabara zikijengwa hazifanyiwi ukarabati wa mara kwa mara na ndio chanzo kikubwa cha ajali.
Shuleni: kuna wanafunzi waliokuwa wanachapwa kwa sababu wamefeli lakini kimsingi wamefaulu, ila sio kululinganisha na uwezo wao.
Kwa utajiri wa asili uliokuwepo Tz, maendeleo tajwa yalipaswa kufanyika na kukamilika miaka 1980-2010.
Changamoto kubwa tuliyonayo ni wakubwa kufikiria kubaki madarakani kuliko kuifanyia jambo nchi. Ndio maana usipoonesha jitihada za kumpigania rais ukiwa mteule wake you are done.
Kuuvunja huu mfumo sio kazi rahisi lakini inawezekana, ni kubadili mitazamo ya raia zaidi kuliko kupigania kuingia madarakani tu. Kuna ushindani wa ndani na nje ya nchi ambapo ili kuushinda kwanza ndani muwe wamoja huko nje hauwezi sumbuliwa, hii ni mbinu ya mchwa.
Miaka 64 ya uhuru lakini hatuoni Cha Maana walichofanya Hawa CCM.Zaidi walichofanya ni kuanzisha Kodi lukuki zisizo na manufaa Kwa watanzania na kuuza hovyo rasilimali za taifa.
Wapo watu wanazeeka miili lakini akili zao kamwe hazizeeki. Lakini huyu Wasira inaonekana amezeeka zaidi akili kuliko hata mwili.
wanosema kuwa CCM imeifanya kuwa duni hawamaanishi absolute zero. Bali kilichofanyika kwa kulinganisha na baadhi ya mataifa yaliyokuwa kama CCM au nyuma ya sisi wakati tunapata uhuru, na kwa kuangalia rasilimali tuluzo nazo, sisi nchi yetu hakuna cha maana kilichofanyika.
Fikiria miaka 1960, Tanganyika ilikuwa sawa na Malaysia, Thailand na Singapore. Tanganyika ilikuwa bora zaidi ya Botswana na Namibia.
Wapo watu wanazeeka miili lakini akili zao kamwe hazizeeki. Lakini huyu Wasira inaonekana amezeeka zaidi akili kuliko hata mwili.
wanosema kuwa CCM imeifanya kuwa duni hawamaanishi absolute zero. Bali kilichofanyika kwa kulinganisha na baadhi ya mataifa yaliyokuwa kama CCM au nyuma ya sisi wakati tunapata uhuru, na kwa kuangalia rasilimali tuluzo nazo, sisi nchi yetu hakuna cha maana kilichofanyika.
Fikiria miaka 1960, Tanganyika ilikuwa sawa na Malaysia, Thailand na Singapore. Tanganyika ilikuwa bora zaidi ya Botswana na Namibia.
Wassira amesema wanaoesema hakuna kilichofanyika kwa miaka 60 ya uhuru wanatakiwa kusamehewa kwani hawajui walisemalo.
Amesema zamani kulikuwa na barabara tatu pekee Dar -Moro, tanga korogwe, na moshi kwenda arusha na sababu zilikuwa zinaendelea kwenye mashamba ya biashara, elimu ilikuwa 1 mpaka 4, kulikuwa na wandisi 2 pekee, madaktari 12 walioazimwa kutoka nje, hakukua na umeme bali kuliwa na mtambo wa kusupplu umeme kwa watoto wa kishua oysterbay, upanga huku waswahili wakiwa maeneo ya karioakoo, ilala kwenye giza totoro
Leo nchi imeendelea, umeme bwerere na maendeleo kedede, sasa hao wanaonanga hakuna walichofanya na hawataki kujifunza wanatakiwa kusamehewa maana hawajui lolote.
Na ndio maana wataendelea kushika dola/madaraka sababu wana jukumu ka kuifanya tanzania iwe bora.
ccm inatukosea sana Watanzania.
Inapaswa iweke watu wenye uchungu wa kweli, wastaarabu na wenye akili timamu.
Ona hili zeee la hovyo hovyo linaropoka tu
Wapo watu wanazeeka miili lakini akili zao kamwe hazizeeki. Lakini huyu Wasira inaonekana amezeeka zaidi akili kuliko hata mwili.
wanosema kuwa CCM imeifanya kuwa duni hawamaanishi absolute zero. Bali kilichofanyika kwa kulinganisha na baadhi ya mataifa yaliyokuwa kama CCM au nyuma ya sisi wakati tunapata uhuru, na kwa kuangalia rasilimali tuluzo nazo, sisi nchi yetu hakuna cha maana kilichofanyika.
Fikiria miaka 1960, Tanganyika ilikuwa sawa na Malaysia, Thailand na Singapore. Tanganyika ilikuwa bora zaidi ya Botswana na Namibia.
Wassira amesema wanaoesema hakuna kilichofanyika kwa miaka 60 ya uhuru wanatakiwa kusamehewa kwani hawajui walisemalo.
Amesema zamani kulikuwa na barabara tatu pekee Dar -Moro, tanga korogwe, na moshi kwenda arusha na sababu zilikuwa zinaendelea kwenye mashamba ya biashara, elimu ilikuwa 1 mpaka 4, kulikuwa na wandisi 2 pekee, madaktari 12 walioazimwa kutoka nje, hakukua na umeme bali kuliwa na mtambo wa kusupplu umeme kwa watoto wa kishua oysterbay, upanga huku waswahili wakiwa maeneo ya karioakoo, ilala kwenye giza totoro
Leo nchi imeendelea, umeme bwerere na maendeleo kedede, sasa hao wanaonanga hakuna walichofanya na hawataki kujifunza wanatakiwa kusamehewa maana hawajui lolote.
Na ndio maana wataendelea kushika dola/madaraka sababu wana jukumu ka kuifanya tanzania iwe bora.