Wasira: Wengine ni vibaraka wakubwa, waache uhuni na nchi yetu, sisi tunaongoza dola kwa idhini ya watanzania

Wasira: Wengine ni vibaraka wakubwa, waache uhuni na nchi yetu, sisi tunaongoza dola kwa idhini ya watanzania

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema kuna watu nje ya Tanzania wenye vibaraka ndani ya Tanzania ambao wamekuwa wakieleza kuwa CCM imekaa sana madarakani, ambapo amedai kuwa kauli zao hizo ni propaganda huku akisisitiza kuwa CCM itaendelea kuongoza dola.

Wasira ameyasema hayo Jumanne Februari 4, 2025 jijini Dodoma Wakati wa Kongamano la Wanawake kuelekea maadhimisho ya miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi.

 
Wananchi wamewachoka na wanataka kuchagua wanamageuzi wenye sera mpya, kaeni pembeni nanyi muwe chama cha upinzani mkajipange upya ndio mrudi tena kuomba idhini kwa wananchi kuongoza dola
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema kuna watu nje ya Tanzania wenye vibaraka ndani ya Tanzania ambao wamekuwa wakieleza kuwa CCM imekaa sana madarakani, ambapo amedai kuwa kauli zao hizo ni propaganda huku akisisitiza kuwa CCM itaendelea kuongoza dola.

Wasira ameyasema hayo Jumanne Februari 4, 2025 jijini Dodoma Wakati wa Kongamano la Wanawake kuelekea maadhimisho ya miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi.

View attachment 3225032
Dingi anaropoka hadi anakera
 
Bado tu zinatumika propaganda za namna hii kwa wananchi! Duuh kweli kazi ipo.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema kuna watu nje ya Tanzania wenye vibaraka ndani ya Tanzania ambao wamekuwa wakieleza kuwa CCM imekaa sana madarakani, ambapo amedai kuwa kauli zao hizo ni propaganda huku akisisitiza kuwa CCM itaendelea kuongoza dola.

Wasira ameyasema hayo Jumanne Februari 4, 2025 jijini Dodoma Wakati wa Kongamano la Wanawake kuelekea maadhimisho ya miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi.

View attachment 3225032
Na waliouza bandari yetu ni kina nani?na walioingia mikataba mibaya magufuri akaja kuirekebisha ni kina nani?huyu mzee anazeeka vibaya,Viongozi wangekuwa wazalendo tusingekuwa hapa tulipo
 
Angesema wanaongoza watanzania kwa idhini ya dola (kuiba kura kwa kutumia vyombo vya ulinzi).
 
Back
Top Bottom