Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Mjadala wa Simba na Yanga umehamisha mjadala mkali uliokuwa ukiendelea juu ya uhalali wa Rais ambaye siye waziri wa Nishati na wala si mwanasheria mkuu wa serikali wala hatujaona anawashirikisha popote ghafla anaanguka sahihi hapana tunataka ulinzi wa rasilimali zetu tena kwa wivu mkubwa sana na wenye mamlaka huu urithi ungechezewa na akina Nyerere leo tusingekuwa na chochote.
Sisi Magufulists tunahoji uhalali wa kufanya usiri kwenye mikataba hii na tunahoji kauli za kuhalalisha uchimbaji wa madini kwenye hifadhi za Taifa.
Ikumbukwe kuwa uchimbaji wa madini huambatana na uharibifu wa mazingira kwa sababu ya chemicals zinazotumika kama Mercury ambazo ni heavy metals ambazo zinaitwa mutagenic agents hizi chemicals zikisambaa kwenye vyanzo vya maji ni hatari kwa wanyama wetu hasa endangered species.
Limetokea suala la kukamatwa tani moja ya Heroine nalo tunaliona la kawaida tu na tunaliacha lipite bila kufafanuliwa kuwa ule mzigo uloikuwa wa nani, wahusika wamechukuliwa hatua gani na umetektezwa wapi.
Sisi Magufulists tunahoji uhalali wa kufanya usiri kwenye mikataba hii na tunahoji kauli za kuhalalisha uchimbaji wa madini kwenye hifadhi za Taifa.
Ikumbukwe kuwa uchimbaji wa madini huambatana na uharibifu wa mazingira kwa sababu ya chemicals zinazotumika kama Mercury ambazo ni heavy metals ambazo zinaitwa mutagenic agents hizi chemicals zikisambaa kwenye vyanzo vya maji ni hatari kwa wanyama wetu hasa endangered species.
Limetokea suala la kukamatwa tani moja ya Heroine nalo tunaliona la kawaida tu na tunaliacha lipite bila kufafanuliwa kuwa ule mzigo uloikuwa wa nani, wahusika wamechukuliwa hatua gani na umetektezwa wapi.