Kwa yeyote ambaye haamini kuwa ni kweli nina mshauri msemo wa Ndoa ya Mkeka kwamba nunua panadol na 7up halafu upate jibu lake then uwape wengine jibu lakini ikitokea umedead usilaumu ama tusilaumiane maana mdharau mwiba humchoma. Uthibitisho kamili ndo huo.
Tunaomba ithibati za kitabibu ili tuweze kujua ukweli wake katika hili
Jina halisi la marehemu na address yake kamili
Hospital aliyotibiwa mpaka mauti kumfika I mean baada ya kunywa hiyo dawa na hayo soda
Ripoti kamili ya daktari postmortem
Uthibitisho wa kaburi lake nk nk
Kwa yeyote ambaye haamini kuwa ni kweli nina mshauri msemo wa Ndoa ya Mkeka kwamba nunua panadol na 7up halafu upate jibu lake then uwape wengine jibu lakini ikitokea umedead usilaumu ama tusilaumiane maana mdharau mwiba humchoma. Uthibitisho kamili ndo huo.
Mbona hata mimi nilishapiga dose kwa sprite Mkuu? Hizi zitakuwa kamba! Hivi humu hatuna wakemia wakuu wakatusaidia jinsi hii reaction inavyotokea?'Au wameingia mitini kwa vile elimu ya Mulugo ni ya kukariri vitini kwa kwenda mbele!
Utakua umeelewa ila ulitaka tujue kuwa upo kwenye mjadala huu. Tungoje atuletee vielelezoUna maanisha vielelezo?
Hao ni wadogo zangu huwa kumbuki mlichezanao tiyari bado, kumbe ulishapoteza kumbukumbu?
Poa mi nakupa pole
Huyo marehemu anaitwa nani na hilo tukio lilitokea maeneo gani.
Kijana mmoja amefariki kwa sababu ya kumeza dawa aina ya panadol. Baada ya kumeza dawa hiyo ya panadol tu alikunywa soda aina ya 7up, na akafa hapohapo.
Baada ya kuchunguzwa na wataam kifo chake, ikagunduliwa kuwaKidonge/dawa aina ya panadol ikifuatiwa kuchanganyishwa katika muda wa karibu na kinywaji cha gesi, dawa hiyo hugeuka na kuwa sumu.
Tafadhali wajulishe watu ujumbe huu ili wachukue tahadhari.
Tunaomba ithibati za kitabibu ili tuweze kujua ukweli wake katika hili
Jina halisi la marehemu na address yake kamili
Hospital aliyotibiwa mpaka mauti kumfika I mean baada ya kunywa hiyo dawa na hayo soda
Ripoti kamili ya daktari postmortem
Uthibitisho wa kaburi lake nk nk