mende 2014
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 763
- 131
Kijana mmoja amefariki kwa sababu ya kumeza dawa aina ya panadol. Baada ya kumeza dawa hiyo ya panadol tu alikunywa soda aina ya 7up, na akafa hapohapo.
Baada ya kuchunguzwa na wataam kifo chake, ikagunduliwa kuwaKidonge/dawa aina ya panadol ikifuatiwa kuchanganyishwa katika muda wa karibu na kinywaji cha gesi, dawa hiyo hugeuka na kuwa sumu.
Tafadhali wajulishe watu ujumbe huu ili wachukue tahadhari.
Baada ya kuchunguzwa na wataam kifo chake, ikagunduliwa kuwaKidonge/dawa aina ya panadol ikifuatiwa kuchanganyishwa katika muda wa karibu na kinywaji cha gesi, dawa hiyo hugeuka na kuwa sumu.
Tafadhali wajulishe watu ujumbe huu ili wachukue tahadhari.