Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
Nina rafiki yangu anatarajia kuoa single mother.
Ila anapata shida kuhusu Familia ya Jamaa aliyezaa nae.
Kule jamaa ana dada na Kaka pia, sasa ndugu zake hao watamuitaje mchumba wake.
Na wazazi wake jamaa watamuitaje mchumba wake.
Na yeye pia ana Dada na kaka.
Ushauri naamni jf wapo wazoefu wa haya mambo.
Ila anapata shida kuhusu Familia ya Jamaa aliyezaa nae.
Kule jamaa ana dada na Kaka pia, sasa ndugu zake hao watamuitaje mchumba wake.
Na wazazi wake jamaa watamuitaje mchumba wake.
Na yeye pia ana Dada na kaka.
Ushauri naamni jf wapo wazoefu wa haya mambo.