WasiWasi Watanda Juu ya Yanga Kushindwa Kuujaza Uwanja Wa Amani Zanzibar

WasiWasi Watanda Juu ya Yanga Kushindwa Kuujaza Uwanja Wa Amani Zanzibar

kinje ketile

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
5,089
Reaction score
9,664
Baada ya Timu ya Yanga kukimbilia Uwanja Wa Amani Stadium Zanzibar, wasiwasi mkubwa umetanda kuwa hata Baada ya kufanya uamuzi huo Upo uwezekano mkubwa Uwanja huo Usijae..!

Yanga itajitupa uwanjani hapo siku ya tarehe 21/9/2024 kupapatuana na timu ngeni kabisa kutoka Ethiopia, timu ambayo haina historia yoyote kwenye michuano ya CAF barani Afrika. Tukumbuke uwanja huo ni mdogo ukilinganisha na Uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Dar es Salaam.

Wasiwasi huo umekuja baada ya kuona Kuwa mpaka muda huu Hakuna unywaji Wowote wa SUPU uliotangazwa na Uongozi.Ikumbukwe hii ni moja ya njia Za Uhamasishaji ambazo Zimekuwa Zikitumika kuvutia Mashabiki wa Yanga kuingia Uwanjani ambazo zimeonyesha Mafanikio.

Mashabiki wa Yanga huwa wanafahamika hujaza Uwanja pale tu aidha Wametangaziwa Kiingilio ni Bure au Kuna Supu..!

Yote kwa Yote...Mungu ibariki Yanga, Mungu ibariki Tanzania.

Wana Yanga marekebisho yanahitajika hapa..! Nunua tiketi yako! Changia timu yako!
 
Baada ya Timu ya Yanga kukimbilia Uwanja Wa Amani Stadium Zanzibar, wasiwasi mkubwa umetanda kuwa hata Baada ya kufanya uamuzi huo Upo uwezekano mkubwa Uwanja huo Usijae..!

Yanga itajitupa uwanjani hapo siku ya tarehe 21/9/2024 kupapatuana na timu ngeni kabisa kutoka Ethiopia, timu ambayo haina historia yoyote kwenye michuano ya CAF barani Afrika. Tukumbuke uwanja huo ni mdogo ukilinganisha na Uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Dar es Salaam.

Wasiwasi huo umekuja baada ya kuona Kuwa mpaka muda huu Hakuna unywaji Wowote wa SUPU uliotangazwa na Uongozi.Ikumbukwe hii ni moja ya njia Za Uhamasishaji ambazo Zimekuwa Zikitumika kuvutia Mashabiki wa Yanga kuingia Uwanjani ambazo zimeonyesha Mafanikio.

Mashabiki wa Yanga huwa wanafahamika hujaza Uwanja pale tu aidha Wametangaziwa Kiingilio ni Bure au Kuna Supu..!

Yote kwa Yote...Mungu ibariki Yanga, Mungu ibariki Tanzania.

Wana Yanga marekebisho yanahitajika hapa..! Nunua tiketi yako! Changia timu yako!
Chaka jipya kwa Mbumbu SC.
 
Baada ya Timu ya Yanga kukimbilia Uwanja Wa Amani Stadium Zanzibar, wasiwasi mkubwa umetanda kuwa hata Baada ya kufanya uamuzi huo Upo uwezekano mkubwa Uwanja huo Usijae..!

Yanga itajitupa uwanjani hapo siku ya tarehe 21/9/2024 kupapatuana na timu ngeni kabisa kutoka Ethiopia, timu ambayo haina historia yoyote kwenye michuano ya CAF barani Afrika. Tukumbuke uwanja huo ni mdogo ukilinganisha na Uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Dar es Salaam.

Wasiwasi huo umekuja baada ya kuona Kuwa mpaka muda huu Hakuna unywaji Wowote wa SUPU uliotangazwa na Uongozi.Ikumbukwe hii ni moja ya njia Za Uhamasishaji ambazo Zimekuwa Zikitumika kuvutia Mashabiki wa Yanga kuingia Uwanjani ambazo zimeonyesha Mafanikio.

Mashabiki wa Yanga huwa wanafahamika hujaza Uwanja pale tu aidha Wametangaziwa Kiingilio ni Bure au Kuna Supu..!

Yote kwa Yote...Mungu ibariki Yanga, Mungu ibariki Tanzania.

Wana Yanga marekebisho yanahitajika hapa..! Nunua tiketi yako! Changia timu yako!
Unapo zungumzia michuano ya CAF uwe una ainisha ni aina gani ya mashindano usituletee habari za shirikisho hapa
 
NATAFUTA MASHABIKI WATATU WA UTO NIWAINGIZE. KAMA WEWE NI UTO NA UNATAKA KUINGIZWA REPLY "KAKA NIINGIZE"
 
GXCPpXhWEAAhZkf.jpeg
 
Baada ya Timu ya Yanga kukimbilia Uwanja Wa Amani Stadium Zanzibar, wasiwasi mkubwa umetanda kuwa hata Baada ya kufanya uamuzi huo Upo uwezekano mkubwa Uwanja huo Usijae..!

Yanga itajitupa uwanjani hapo siku ya tarehe 21/9/2024 kupapatuana na timu ngeni kabisa kutoka Ethiopia, timu ambayo haina historia yoyote kwenye michuano ya CAF barani Afrika. Tukumbuke uwanja huo ni mdogo ukilinganisha na Uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Dar es Salaam.

Wasiwasi huo umekuja baada ya kuona Kuwa mpaka muda huu Hakuna unywaji Wowote wa SUPU uliotangazwa na Uongozi.Ikumbukwe hii ni moja ya njia Za Uhamasishaji ambazo Zimekuwa Zikitumika kuvutia Mashabiki wa Yanga kuingia Uwanjani ambazo zimeonyesha Mafanikio.

Mashabiki wa Yanga huwa wanafahamika hujaza Uwanja pale tu aidha Wametangaziwa Kiingilio ni Bure au Kuna Supu..!

Yote kwa Yote...Mungu ibariki Yanga, Mungu ibariki Tanzania.

Wana Yanga marekebisho yanahitajika hapa..! Nunua tiketi yako! Changia timu yako!
Hivi nia ni kujaza uwanja au kushinda mechi?? Nyie mlipata tuzo ya mashabiki bora, lakini mlipigwa TANO, mkapigwa viwili, na mkaja mkakalia kimoko. Kuna timu zinapewaga adhabu ya kucheza uwanja neutral bila mashabiki na wanashinda, na kuna timu wanajaza uwanja na wanakandwa, mfano, mechi ya pili kati ya USM Alger na Yanga SC Fainali Kombe la Shirikisho Afrika CAFCC 2023, uwanja mzima ulikuwa na mashabiki wao, lakini walipigwa moja kwao.

CHAKA HILI MNALOLIANZISHA SASA LITAFYEKWA. Chaka la SISI WA KIMATAIFA halipo tena..!!! Sisi wa ROBO kwishneiii..!! Mlitaka kulianzisha chaka la KURUJUANI nalo limeyoyoma gizani.
 
Baada ya Timu ya Yanga kukimbilia Uwanja Wa Amani Stadium Zanzibar, wasiwasi mkubwa umetanda kuwa hata Baada ya kufanya uamuzi huo Upo uwezekano mkubwa Uwanja huo Usijae..!

Yanga itajitupa uwanjani hapo siku ya tarehe 21/9/2024 kupapatuana na timu ngeni kabisa kutoka Ethiopia, timu ambayo haina historia yoyote kwenye michuano ya CAF barani Afrika. Tukumbuke uwanja huo ni mdogo ukilinganisha na Uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Dar es Salaam.

Wasiwasi huo umekuja baada ya kuona Kuwa mpaka muda huu Hakuna unywaji Wowote wa SUPU uliotangazwa na Uongozi.Ikumbukwe hii ni moja ya njia Za Uhamasishaji ambazo Zimekuwa Zikitumika kuvutia Mashabiki wa Yanga kuingia Uwanjani ambazo zimeonyesha Mafanikio.

Mashabiki wa Yanga huwa wanafahamika hujaza Uwanja pale tu aidha Wametangaziwa Kiingilio ni Bure au Kuna Supu..!

Yote kwa Yote...Mungu ibariki Yanga, Mungu ibariki Tanzania.

Wana Yanga marekebisho yanahitajika hapa..! Nunua tiketi yako! Changia timu yako!
Ndugu mbumbumbu kwa mujibu wa takwimu za ushiriki wa Yanga katika mashindano mabalimbali uko Zanzibar hasa mapinduzicup kwa miaka yote Yanga iliyo shiriki ndio timu namba Moja kwa mechi zake kuwa na mashabiki wengi kuliko timu yoyote iliyo wahi kushiriki katika michuano iyo.

Kingine ninacho kifahamu ticket za kuingilia uwanjani huuzwa siku ya Mechi na hutokea kabla ya mechi Kuanza tiketi husisha.
Sasa sipati picha zikiuzwa siku mbili kabla ya mechi itakuaje.
 
Baada ya Timu ya Yanga kukimbilia Uwanja Wa Amani Stadium Zanzibar, wasiwasi mkubwa umetanda kuwa hata Baada ya kufanya uamuzi huo Upo uwezekano mkubwa Uwanja huo Usijae..!

Yanga itajitupa uwanjani hapo siku ya tarehe 21/9/2024 kupapatuana na timu ngeni kabisa kutoka Ethiopia, timu ambayo haina historia yoyote kwenye michuano ya CAF barani Afrika. Tukumbuke uwanja huo ni mdogo ukilinganisha na Uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Dar es Salaam.

Wasiwasi huo umekuja baada ya kuona Kuwa mpaka muda huu Hakuna unywaji Wowote wa SUPU uliotangazwa na Uongozi.Ikumbukwe hii ni moja ya njia Za Uhamasishaji ambazo Zimekuwa Zikitumika kuvutia Mashabiki wa Yanga kuingia Uwanjani ambazo zimeonyesha Mafanikio.

Mashabiki wa Yanga huwa wanafahamika hujaza Uwanja pale tu aidha Wametangaziwa Kiingilio ni Bure au Kuna Supu..!

Yote kwa Yote...Mungu ibariki Yanga, Mungu ibariki Tanzania.

Wana Yanga marekebisho yanahitajika hapa..! Nunua tiketi yako! Changia timu yako!
Muwe mnaandika vitu vya msingi kwani wasipojaa na yanga akishinda gemu haingii makundi?
 
Baada ya Timu ya Yanga kukimbilia Uwanja Wa Amani Stadium Zanzibar, wasiwasi mkubwa umetanda kuwa hata Baada ya kufanya uamuzi huo Upo uwezekano mkubwa Uwanja huo Usijae..!

Yanga itajitupa uwanjani hapo siku ya tarehe 21/9/2024 kupapatuana na timu ngeni kabisa kutoka Ethiopia, timu ambayo haina historia yoyote kwenye michuano ya CAF barani Afrika. Tukumbuke uwanja huo ni mdogo ukilinganisha na Uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Dar es Salaam.

Wasiwasi huo umekuja baada ya kuona Kuwa mpaka muda huu Hakuna unywaji Wowote wa SUPU uliotangazwa na Uongozi.Ikumbukwe hii ni moja ya njia Za Uhamasishaji ambazo Zimekuwa Zikitumika kuvutia Mashabiki wa Yanga kuingia Uwanjani ambazo zimeonyesha Mafanikio.

Mashabiki wa Yanga huwa wanafahamika hujaza Uwanja pale tu aidha Wametangaziwa Kiingilio ni Bure au Kuna Supu..!

Yote kwa Yote...Mungu ibariki Yanga, Mungu ibariki Tanzania.

Wana Yanga marekebisho yanahitajika hapa..! Nunua tiketi yako! Changia timu yako!
Yanga hashiriki mashindano kwa ajili ya kuujaza uwanja ila kushinda. Swali lingekua kulikua na ulazima gani hii gemu kupelekwa Zanzibar.
 
Back
Top Bottom