Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 43,960 Reaction score 77,533 Sep 20, 2024 #21 akatiwanya said: Chaka jipya kwa Mbumbu SC. Click to expand... Kaandika uongo au ni ukweli uchomao?
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Sep 20, 2024 #22 akatiwanya said: Chaka jipya kwa Mbumbu SC. Click to expand... Yaani hawa jamaa wana machaka ya kumwaga.
akatiwanya said: Chaka jipya kwa Mbumbu SC. Click to expand... Yaani hawa jamaa wana machaka ya kumwaga.
B Benny Haraba JF-Expert Member Joined Dec 7, 2012 Posts 13,336 Reaction score 12,370 Sep 20, 2024 #23 permanides said: Yanga hashiriki mashindano kwa ajili ya kuujaza uwanja ila kushinda. Swali lingekua kulikua na ulazima gani hii gemu kupelekwa Zanzibar. Click to expand... Jibu lingelikuwa wanatafuta wigo wa kuingiza kipato msije mkashangaa kuna siku yanga itaenda kucheza nchini Uganda kwaajili hiyo hiyo, ya kupanua wigo wa kipato na kuungwa mkono, hata kuimarisha udugu
permanides said: Yanga hashiriki mashindano kwa ajili ya kuujaza uwanja ila kushinda. Swali lingekua kulikua na ulazima gani hii gemu kupelekwa Zanzibar. Click to expand... Jibu lingelikuwa wanatafuta wigo wa kuingiza kipato msije mkashangaa kuna siku yanga itaenda kucheza nchini Uganda kwaajili hiyo hiyo, ya kupanua wigo wa kipato na kuungwa mkono, hata kuimarisha udugu
ukikaidi utapigwa2 JF-Expert Member Joined Feb 24, 2015 Posts 15,265 Reaction score 29,991 Sep 20, 2024 #24 Yaani Yanga ijaze uwanja Rwanda ije ishindwe kujaza uwanja hapo Zanzibar?